Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Atakua aliinywa bila kijipa nafasi! Lile dude wanasema linakausha sukari na maji kwenye mwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa Lindi.RIP.
Rahaleo ya wapi?
Hizo bikira uwa hazivunjiki?Sasa mabikira itakuaje jaman?
[emoji23][emoji23]hii n mada ya mchongo lengo ni kutuponda sisi
Amakufa yoko zwiii bila mkongo hatoboiSasa mabikira itakuaje jaman?
Zinavunjika baada ya mja kukabidhiwa kuwa sasambua kisawasawaHizo bikira uwa hazivunjiki?
PoleniNi Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.
Afya mbovu tu huyoo..!!Kunywa Kistaarabu.
Mtu unakunywaje 200ml 40/%abv X 4?
Tule tunywewakala wao unasemaje
Nimezingatia;-Ni Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.
Apumzike anakostahili ausio!