ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
- #21
LindiRahaLeo ya wapi Mkuu? Zanzibar au ? 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LindiRahaLeo ya wapi Mkuu? Zanzibar au ? 🤔
Lindi 🏖RIP.
Rahaleo ya wapi?
Hizo ni myth tu, ukifa umeshakufaStraight peponi
Smart gin na sungura ni kitu kimoja.Smart Gin
Double kick
Visungura
Hizo zote ni janga la taifa kwa vijana
Angle nzuri aipate vema mifereji ya pombeStraight peponi
Zinakukata uzito siku tatu tu..Smart Gin
Double kick
Visungura
Hizo zote ni janga la taifa kwa vijana
Yaani nawewe unamuamini mleta mada?balaa zito. kwa kifo hicho hawezi kupewa mabikra 72, swaumu yake bure kabisa
Angesubiri akanywe na kuogelea kwenye mito ya pombe peponi.
Kule kuna mito kabisaMi Kwa huku duniani nakunywa kidogo tu focus ni Ile ya kule Firdausi
Anaenda kukutana na ile mito ya pombe inayotiririka😀Hizo ni myth tu, ukifa umeshakufa
Ni hivi Huu ulimwengu upo kwa sababu sisi tupo , kama sisi tusingekuwepo na huu ulimwengu usingekuwepo. Kwa sababu huyu hayupo na ulimwengu kwake haupo. Na alikoelekea hatujui japo amezikwaAnaenda kukutana na ile mito ya pombe inayotiririka😀
Nakubaliana na wewe mkuu, mengine ni vichekesho tu vya duniaNi hivi Huu ulimwengu upo kwa sababu sisi tupo , kama sisi tusingekuwepo na huu ulimwengu usingekuwepo. Kwa sababu huyu hayupo na ulimwengu kwake haupo. Na alikoelekea hatujui japo amezikwa
Nachukua kiwanja mapema 35 kwa 50 jirani na mto wa 🍻🍻🍺🍺Kule kuna mito kabisa
Namzidi Aslay.........Angle nzuri aipate vema mifereji ya pombe