Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba namba 😹😹😹 i love uNamzidi Aslay.........
Kajiua huyo..Ni Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.
Kile ulichokiona ongeza lapulapu,dakika 25 na figiri.Naomba namba 😹😹😹 i love u
ndio shida ya imani zinazofanya watu wafunge mwezi fulani tu, mwezi huo tu ndio unakuwa sio wa kutenda dhambi. miezi mingine, ruksa, si kuna mwezi spesheni wa kujitakasa? ndio maana kuanzia leo, mabaa mengi yatajaa, maeneo ya kitimoto yatakuwa na wateja wengi ajabu. haujajiuliza kwanini baa zilikuwa kimya sana? kuanzia leo hata barabarani nendeni kwa umakini, watu wamelewa mno kwasababu walikuwa wamefungwa, sasa wamefunguliwa.Ni Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.
Dah... Tupo msibani, naomba namba basiKile ulichokiona ongeza lapulapu,dakika 25 na figiri.
Utanimudu lakini? Msiba wa nani tenaDah... Tupo msibani, naomba namba basi
Kunywa Kistaarabu.Smart Gin
Double kick
Visungura
Hizo zote ni janga la taifa kwa vijana
Kunywa Kistaarabu.Smart Gin
Double kick
Visungura
Hizo zote ni janga la taifa kwa vijana
Lindi kwa mujibu wa harakati za ndege JOHNItakuwa ni ya Ntwara hiyo.
Kumbe visungura ni vijanja sana hivyo? 😳 Hawachakachui alcohol content ?
Mbona hii ndogo mzee... watu tunapiga jibapa mbili na tunadunda!! Njaa imemuua.Kunywa Kistaarabu.
Mtu unakunywaje 40/%abv X 4?
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'unNi Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.
Kuna pombe mpya sahv inaitwaSmart gin na sungura ni kitu kimoja.
Hana jina?Ni Jamaa yetu wa kata ya rahaleo alifunga siku zote leo asubuhi sana hata kuswali hajaenda akaamua kufungulia kazi na pombe kali aina ya smart gin(kisungura) akapiga mbeta kama vile anakunywa soda lengo asipate hasara ghafla bin vu kakata moto.