TANZIA Afariki dunia akigombea usafiri kituo cha daladala Makumbusho

TANZIA Afariki dunia akigombea usafiri kituo cha daladala Makumbusho

Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.

Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.

Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
We unaona taarifa imekamilika hii?
 
Back
Top Bottom