TANZIA Afariki dunia akigombea usafiri kituo cha daladala Makumbusho

TANZIA Afariki dunia akigombea usafiri kituo cha daladala Makumbusho

Tujifunze kitu hakuna mtu mwenye warranty na maisha haya popote kamba inakata,huyu marehemu alikuwa na mipango yake kichwani kama sisi,alikuwa anaiwazia familia yake na kuipenda kama sisi na anae mke au mzazi angetamani aendelee kuwepo but wakati umefika ameitika.

Apumzike kwa amani jamaa,inasikitisha sana.
So sad, Mungu atupe mwisho mwema
 
Apunzike kwa Amani
Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.

Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.

Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
 
Unakuta mtu ujala, joto,hamna michingo, hasira na stress.. Sasa unapambana upate siti usije shika bomba hadi Bunju.. dah
 
Halafu baadae utaona uzi wa MATAGA ukisema:"Samia aipaisha Tanzania katika maendeleo ya uchumi wa kati"😁😁😁
Wakati huohuo mbowe naye anaendelea kupigiliwa na manyapala Kule gerezani na kibatala anawinda mkewe Kule home kwake
 
Mkataba wa serikal na mwendokas ambao wanalipia gharama za kutumie barabara ya mwendo kas na vituo vyake kwa siku ambayo ni kama 9m hiv...mkataba ulitaka daladala zipunguzwe ili mrad ufanye kaz
Hapo ndipo walipotengeneza tatizo lingine
 
Wakati huohuo mbowe naye anaendelea kupigiliwa na manyapala Kule gerezani na kibatala anawinda mkewe Kule home kwake
Kwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya Taifa😁😁😁

Anawaambia mawaziri wake kuwa wajipimie😁
 
nakumbuka kuna jamaa flani muimbaji wa msondo nae alifia kwenye siti ya mbele ya daladala mwenge stend paleAaliyah aaliyah

Kwa mara ya kwanza tokea nizaliwe nimemuona Rais wa nchi akihamasisha ufisadi kwa serikali yake katika TV ya Taifa😁😁😁

Anawaambia mawaziri wake kuwa wajipimie😁View attachment 2079834
Mama ana kijungu kinachotaka kupwaga, kijungu kinapwaga sasa
 
kamilisha habari.

Hii tabia ya kugombania magari na siti za kukaa kwenye daladala au costa inapoingia stendi au popote ni tabia mbovu sana.

kuna siku tulikuwa pahala tunasubiri gari aise!!!! ilipoingia watu wanakimbizana kwa nguvu zote na kugombania waingie huku gari ikiwa bado ipo kwenye mwendo, afu ni kundi kubwa la watu.

nilikaa pembeni nikatafakari na kujiuliza sana maswali mengi. Yani hata itokee sasahivi niko stendi, siwezagi gombania magari, heri ukeshe kuliko kuumizwa vibaya au kufa kabisa.

Hivi mnapogombania gari likiwa kwenye mwendo ikatokea mtu kaanguka tairi ikampitia kichwani na ukute ni wewe itakuaje?

Hivi hatakama gari imesimama, ninyi mnaigombania, ukianguka ukakanyagwa na kundi la watu wote hao na ukute ni wewe itakuaje?

wakati mnakimbizana kupanda gari watu hutumia nguvu sana, mtu anakimbia huku anarusha mikono, ukapigwa ngumi ya uso na ukute ni wewe itakuaje?

haya mambo heri uwe mstaarabu kuepusha majanga. Kaa pembeni kabisa wanaogombania wasije wakakupamia, wasio waelewa waache wagombanie siku la kuwakuta likiwakuta ndo akili itawakaa sawa.
20220109_170731.jpg
 
Sielewi ni kivipi uchumi unatakiwa kutuokoa na kufa.

Baadaye kidogo tutaambiwa tuilaumu serikali kwakua we are not immortals.

Hatuna taarifa kamili hapa. Taarifa ni mtu kafa ila hatujui chanzo, hatuna historia ya mhanga, hatujui tukio lilianzia wapi ila ni rahisi kuilaumu serikali au siyo?

Siku hizi ukitaka likes iponde serikali kwa nguvu zote. Ukali wa maandiko utadetermine idadi ya likes.
Ujue serikali yetu inapwaya.!

Nimeshaa hadi akina mama bush kwetu wanashangaa madudu ya mtawala mwanamke.
 
Jinsia?makadirio ya umri?

Hivi tatizo mabasi huwa hayatoshi au nini? Kwanini wasitoe leseni nyingi watu wamwage mabasi?

Tuliambiwa Mwendokasi ikikamilika shida ya usafiri Dar itakuwa historia,kasubiri sasa hio mwendokasi uone utakaa muda gani kuisubiri tu hio basi yenyewe
Halafu Eti Kuna watu kitoka Mataifa mengine wanakuja kujifunza Ubora wa DART!
AFRICA Kuna sehemu tunahitaji maombi!
 
Mtu mmoja amefariki dunia akiwa kwenye harakati za kugombea daladala alasiri hii ya leo.

Tayari polisi wamefika na jitihada zinafanyika za kuuupeleka mwili wa marehemu Mwananyamala Hospitali kwa uhifadhi na uchunguzi zaidi.

Marehemu hakuwa na kitu chochote cha kumtambulisha
Njaa ni hatari sana , uchunguzi wangu umebaini kwamba zaidi ya 75% ya wakazi wa DSM hawana uhakika hata wa mlo mmoja .
 
Joto kali mtu hajanywa maji kuanzia asubuhi mpaka jioni na hapo katoka kufanya kazi ngumu za wahindi & wachina

Unakuta mtu kanywa chai tu asubuhi, hajala mchana ili kuserve hela hapo unafikiri utapata nguvu za kugombania daladala za gongo la mboto au mbagala?
 
Back
Top Bottom