jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ccm ni laana kwa hii nchi.Jinsia?makadirio ya umri?
Hivi tatizo mabasi huwa hayatoshi au nini? Kwanini wasitoe leseni nyingi watu wamwage mabasi?
Tuliambiwa Mwendokasi ikikamilika shida ya usafiri Dar itakuwa historia,kasubiri sasa hio mwendokasi uone utakaa muda gani kuisubiri tu hio basi yenyewe
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app