Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Atakuwa yule MATAGA mwenye id CM...manambanamba mpaka asubuhi.Huwa anaandika kusifia huku amepiga magoti nadhani!Halafu baadae utaona uzi wa MATAGA ukisema:"Samia aipaisha Tanzania katika maendeleo ya uchumi wa kati"๐๐๐