covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Hujui mambo ya ukoo kabisa..!Mama yako si Ukoo wako.
UKOO ni zao lako na alipozaliwa Baba yako
Watoto wa shangazi hawana ukoo na wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui mambo ya ukoo kabisa..!Mama yako si Ukoo wako.
UKOO ni zao lako na alipozaliwa Baba yako
Watoto wa shangazi hawana ukoo na wewe
Kuna jamaa kasevu miaka 30 jela!Dah kuzaa shida kutoa nako shida...
Angevumilia apambane tu na lolote
Kwetu Tel Avivi ukoo ni kwa mama eti mama ndiyo anajua A to ZMama yako si Ukoo wako.
UKOO ni zao lako na alipozaliwa Baba yako
Watoto wa shangazi hawana ukoo na wewe
Pole sana mkuu.
Niliwah kufanya kazi sehem moja ndani ndani, wamama wengi mabinti zao walipokua wakichaguliwa tu kwenda sekondari wanakuja hospital wanakwambia muekee njiti mbili zile znazofunga kuzaa for 5 yrS.
UKiuliza kwanin wanakwambia bora ukimwi kuliko mimba. Ni kitu kinaumiza sana lakn ndo tanzania yetu
Hivi njiti hazina shida dina?Bora wawekee njiti tu maana wanafanya siri hamjui
Wanawake wengi sana wameua thus wengi ni makatili usione wanajazana kwa mitume wao historia inawahukumu.
Hivi njiti hazina shida dina?
Eleza shida ya kuzaaWacha wee!
Umeshinda mkuuEleza shida ya kuzaa
Ndo amtoe kwa mitishamba jaman..Kuna jamaa kasevu miaka 30 jela!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usikimbie rudi hapaUmeshinda mkuu
Lol ni kweli kbsAisee nikikumbuka naingiwa na huruma sana.
Chuo mimba za miezi miwili kushuka zinatolewa tu magetoni zinaflashiwa chooni.
60% ya wadada chuo wanatoa mimba 10% tu ndo wanazaa. Percentage iliyobaki ndo wako makini na unplanned pregnancy plus kufocus na kilichowapeleka chuo.
❤it[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usikimbie rudi hapa
Yaani Bora kuzaa Ila kutoa ni risk Sana maana Kuna madaktari wanafanyiwa majaribio miili ya mabinti.Kuna yo dada angu wa ma mdogo yeye anajifanyaga mshauri kwa watu kutoa
Ndo maana sielewi ishu za ukooo
Unajua madhara yake mkuu!!?