Afariki kwa kupata ajali Buguruni Dar 27.9.2024, atakayemtambua awajuze ndugu zake

Afariki kwa kupata ajali Buguruni Dar 27.9.2024, atakayemtambua awajuze ndugu zake

Status
Not open for further replies.

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
7,683
Reaction score
15,128
Habari marehemu pichani amepata ajali buguruni na kupasuka kichwa, mwili umepelekwa hospitali ya Amana. Atakayemtambua awajuze ndugu zake.

a872smgf.png
 
Nimeona kwenye group moja la Whatsapp kuwa ndugu zake wameshapatikana. Aliondoka tu asubuhi kwenda kwenye mishe zake kama wengine wengi tulivyofanya lakini akaishia mochwari.

Ndo maisha yetu hayo sisi tuliozaliwa. Leo tupo; na kesho tushaenda zetu. Rest easy young lady 🙏🏿

👇👇👇 (Updates)👇👇👇

20240928_033335.jpg


20240928_032245.jpg


20240928_032217.jpg
 
Nimeona kwenye group moja la Whatsapp kuwa ndugu zake wameshapatikana. Aliondoka tu asubuhi kwenda kwenye mishe zake kama wengine wengi walivyofanya lakini akaishia mochwari.

Ndo maisha yetu hayo sisi tuliozaliwa. Leo tupo; na kesho tushaenda zetu. Rest easy young lady 🙏🏿
Kama amesoma mpaka chuo kikuu ni either mwaka huu au mwakani ndio anamaliza chuo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom