Afariki kwa kupata ajali Buguruni Dar 27.9.2024, atakayemtambua awajuze ndugu zake

Afariki kwa kupata ajali Buguruni Dar 27.9.2024, atakayemtambua awajuze ndugu zake

Status
Not open for further replies.
Kutoka Twitter (X)
Wanadai ameshatambuliwa

As reported..
Mwili(kichwa) kilikua kwenye hali mbaya sana (kimepasuka). Kwahiyo wamempumzisha immediately

Chanzo kimeeleza kua alikua boda boda
Kwa kweli kama mtu una uwezo wa kuzikwepa bodaboda na Bajaj,zikimbie kabisa panga ratiba zako vizuri wahi kuamka au hakikisha kila ahadi yako na mtu unaiweka ktk ratiba itakayokufanya usianze kukimbizana barabarani ili utumie public transport utakuwa salama.

Kila mmoja ana ahadi yake lakini hivi vyombo viwili vinauwa kikatili sana tujaribu kujilinda,last month nilipoteza ndugu wawili Mbezi barabara ya Goba ajali ilihusisha Bajaj lorry na coaster ni mtihani sana.
 
Amefariki saa mbili asubuhi na amezikwa jioni hii. Masaa kama mawili yaliyopita ndiyo watu wametoka kuzika kwa sababu ya jinsi alivyopondeka kichwa.

Fuso lilimkanysga kichwani hapo buguruni.

R I P.
Nilijua tu,Buguruni hajafa mtu mara nyingi kama ajali haijahusisha lori

Mandela Road kipande cha kutoka Tabata uelekeo wa Buguruni na Tazara kunakuwaga na madereva fulani vichaa wasiojali utu wa wenye usafiri mdogo kuwashinda
 
Dah aziza mdogo wangu huyu masikin alianza upambanaji kitambo kidogo alianzia kwenye ukondakta wa daladala mpaka kufikia udereva boda maskini tumezika leo hii hii
Hakika kwake tumeumbwa na kwake tutarejea ameniumiza kwa kweli maana nilikua naendesha niko bunju napokea habari za msiba Dah
Omba yasikukute
(mdogo wangu mtoto wa mwalimu wangu wa madrasa)
 
Nilijua tu,Buguruni hajafa mtu mara nyingi kama ajali haijahusisha lori

Mandela Road kipande cha kutoka Tabata uelekeo wa Buguruni na Tazara kunakuwaga na madereva fulani vichaa wasiojali utu wa wenye usafiri mdogo kuwashinda
Kuhusu madereva malori hao jamaa hawajali usalama wa bodaboda hata kidogo,Mimi nafanya nao sana kazi maana nipo katika mazingira ambayo nakutana nao Kila siku.

Huwa wanasema wakiwa barabarani hawaoni bodaboda,wanafagia na kupita kama wanakatiza sehemu isiyo na roho za watu. Ukiingia vibaya kwenye tajiri au trailer utajua mwenyewe na hawasimami,wanaona kama kaingia kuku tu chini ya lori.

Mfano hapa kwenye U turn ya bandarini wanavtofanya unagundua jamaa hawathamini roho za bodaboda Wala abiria wake. Umojifanya una haraka ya kuvuka na yeye anakuja hadungi breki Wala kupiga honi. Analeta gari spidi 120 bila kusimama.

Ukipands boda kama unatoka au unaenda ubungo,mkifika buguruni hasa jioni na asubuhi kwenye gombania goli mshike bega boda kisha mwambie tuliza wenge,vinginevyo mtakufa,malori ni noma ile kitaa.

wiki tatu zilizopita tumemzika mfanyakazi mwenzetu ambae alikuwa na pikipiki yake ya kutembelea. Alipitiwa na Lori hapo buguruni na pumzi yake ikakoma hapo.


BUGURUNI+ UHASIBU= DEATH GATE.
 
kuzikwepa bodaboda na Bajaj,zik

Usafiri huu mijini upigwe marufuku.

Nchi za Kusini mwa Afrika mambo haya ya bodaboda na bajaj mjini pia katika barabara kuu hauruhusiwi.

Ni wakati wa Tanzania kutoagiza tena bodaboda na bajaj ili tuepuke maafisa usafiri na abiria wao kupoteza viungo vya miili yao kuwa vilema huku wengine wakipoteza maisha.
 
Ni wakati wa Tanzania kutoagiza tena bodaboda na bajaj ili tuepuke maafisa usafiri na abiria wao kupoteza viungo vya miili yao kuwa vilema huku wengine wakipoteza maisha.
Tatizo nchi ikishakuwa na viongozi wasiokuwa na vision hauwezi kukuta hizi marufuku zikitiliwa mkazo maana hawajui wabuni mbinu gani kuwatoa wahusika huko bila kutikisika kiuchumi.

Mfano leo Dar pita kila mtaa utakuta mwanzo wa mtaa na mwisho wa mtaa kuna vijana wamekaa na boda zao kusubiri abiria sasa hawa wataenda wapi ikiwa wataambiwa wasifanye hii kazi?
 
Kuhusu madereva malori hao jamaa hawajali usalama wa bodaboda hata kidogo,Mimi nafanya nao sana kazi maana nipo katika mazingira ambayo nakutana nao Kila siku.

Huwa wanasema wakiwa barabarani hawaoni bodaboda,wanafagia na kupita kama wanakatiza sehemu isiyo na roho za watu. Ukiingia vibaya kwenye tajiri au trailer utajua mwenyewe na hawasimami,wanaona kama kaingia kuku tu chini ya lori.

Mfano hapa kwenye U turn ya bandarini wanavtofanya unagundua jamaa hawathamini roho za bodaboda Wala abiria wake. Umojifanya una haraka ya kuvuka na yeye anakuja hadungi breki Wala kupiga honi. Analeta gari spidi 120 bila kusimama.

Ukipands boda kama unatoka au unaenda ubungo,mkifika buguruni hasa jioni na asubuhi kwenye gombania goli mshike bega boda kisha mwambie tuliza wenge,vinginevyo mtakufa,malori ni noma ile kitaa.

wiki tatu zilizopita tumemzika mfanyakazi mwenzetu ambae alikuwa na pikipiki yake ya kutembelea. Alipitiwa na Lori hapo buguruni na pumzi yake ikakoma hapo.


BUGURUNI+ UHASIBU= DEATH GATE.
Ni kweli madereva wa malori na daladala wanashida hiyo, ila kwa asilimia 90 bodaboda huwa wanakitafuta KIFO wenyewe.

Njia nyembamba atalazimisha kupita kati, lori lipo juu, apige hesabu ya tela lake.. na wewe pia akuweke ktk hesabu kwa haraka zako? Ubaya ukikosea ukateleza tuu yeye hana habari wala hajui lolote sana sana ataskia kichwa kimelia.

Pia yale hayana breki za ghafla useme atashika ghafla na kama amebeba mzigo ni hatari kwake yeye mwenyewe. Nimeshuhudia lori baada ya kushika brek ya ghafla mbao zilichomoka na kuponda kichwa cha lori zikitokea nyuma.

Bodaboda wawe makini, pia ktk highway tembea mwendo wa maana, ukijifanyq unanyata wanakufagia. Ni heri uendeshe service road, sio upo highway alaf unatembea na 20.
 
Dah aziza mdogo wangu huyu masikin alianza upambanaji kitambo kidogo alianzia kwenye ukondakta wa daladala mpaka kufikia udereva boda maskini tumezika leo hii hii
Hakika kwake tumeumbwa na kwake tutarejea ameniumiza kwa kweli maana nilikua naendesha niko bunju napokea habari za msiba Dah
Omba yasikukute
(mdogo wangu mtoto wa mwalimu wangu wa madrasa)
Pole sanaa
 
Nilijua tu,Buguruni hajafa mtu mara nyingi kama ajali haijahusisha lori

Mandela Road kipande cha kutoka Tabata uelekeo wa Buguruni na Tazara kunakuwaga na madereva fulani vichaa wasiojali utu wa wenye usafiri mdogo kuwashinda
Uko sahihi. Hicho kipande cha Al Hamza ni balaa nakijua tangu miaka ya mwanzoni 90 kinachinja balaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom