Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Nadhan dereva labda ametambulika sina taarfa zaidiKwahiyo dereva kapona.
Yeye Binti ndiye alikuwa dereva wa bolt.Kwahiyo dereva kapona.
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.Habari marehemu pichani amepata ajali buguruni na kupasuka kichwa ,mwili umepelekwa hospital ya Amana. Sambaza kadri unavyoweza ndugu zake wapatikane.
View attachment 3108665
Amefariki saa mbili asubuhi na amezikwa jioni hii. Masaa kama mawili yaliyopita ndiyo watu wametoka kuzika kwa sababu ya jinsi alivyopondeka kichwa.Nimeona kwenye group moja la Whatsapp kuwa ndugu zake wameshapatikana. Aliondoka tu asubuhi kwenda kwenye mishe zake kama wengine wengi walivyofanya lakini akaishia mochwari.
Ndo maisha yetu hayo sisi tuliozaliwa. Leo tupo; na kesho tushaenda zetu. Rest easy young lady 🙏🏿
Duuh huyo binti alikuwa ni bodaboda khaaa kweli africa ni jehanamuUpdate nanukuu
"Asante huyu Binti amefahamika na ndugu zake wamepatikana. Anaitwa Aziza (Maokoto) Ni Bodaboda wa Mbagala Kichemchem. Alikuwa anatoka kupeleka Abiria ubungo wakati wa kurudi ndio amepata ajali. AMEZIKWA USIKU HUU.. kitokakana na kichwa kuharibika saana hawajataka kulaza."
Moderator munaweza ufunga uzi huu.
So marehemu alikuwa dereva bodaUpdate nanukuu
"Asante huyu Binti amefahamika na ndugu zake wamepatikana. Anaitwa Aziza (Maokoto) Ni Bodaboda wa Mbagala Kichemchem. Alikuwa anatoka kupeleka Abiria ubungo wakati wa kurudi ndio amepata ajali. AMEZIKWA USIKU HUU.. kitokakana na kichwa kuharibika saana hawajataka kulaza."
Moderator munaweza ufunga uzi huu.
Aahh mambo ya wanawake tunaweza.Yeye Binti ndiye alikuwa dereva wa bolt.
Mtoto wa elfu 2 ni bodaboda..hii nchi ni jehanam [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Update nanukuu
"Asante huyu Binti amefahamika na ndugu zake wamepatikana. Anaitwa Aziza (Maokoto) Ni Bodaboda wa Mbagala Kichemchem. Alikuwa anatoka kupeleka Abiria ubungo wakati wa kurudi ndio amepata ajali. AMEZIKWA USIKU HUU.. kitokakana na kichwa kuharibika saana hawajataka kulaza."
Moderator munaweza ufunga uzi huu.
Duuuh inatisha sana ila ndio mipango ya mungu.Amefariki saa mbili asubuhi na amezikwa jioni hii. Masaa kama mawili yaliyopita ndiyo watu wametoka kuzika kwa sababu ya jinsi alivyopondeka kichwa.
Fuso lilimkanysga kichwani hapo buguruni.
R I P.