jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
Hahaaa,na kwa Waarabu pombe hamna kule..Pierre Liquid anaenda kuchukua kombe
Mpira unadunda😂😂😂
Bila kumung'uny'a maneno Tanzania hatuna uwezo wa kupata point hata moja mbele ya washindani wetu watarajiwa.Mkuu hawa miamba yaani mwarabu na Senegal wenye uzoefu wa michuano na wachezaji nyota kuna uwezekano wa suluhu? Au nikuulize si kuna matumaini ya kupata pointi angalau moja kwa mmoja wapo?
Sisi tunaweza Komedi pierre lazima arudi na Kombe la Komedians Africa
Leo mkuu wa mkoa wa dsm amekiri wazi anawahitaji Sana walevi kwenye kuhamasisha.Hili tutoboe hili kundi, NUSU BEI ianzie kesho mpk kufika June tuwe na uhakika wa kupita[emoji28]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Lete takwimu siyo unaleta story tu! Mechi ya mwisho tulicheza nao Nairobi ili isha kwa sare, Wanyama akiwepo huku si tuki mkosa Samatta kama sijakosea.Anatubomoaga always hatuna historia nzuri na wale jamaa wako vizuri kifiziki kuliko sisi
Huu ndio uzuri wetu waTz. Tuna imani ile mbayaTunatoboa asubuhi mbona.
Kocha akichagua wachezaji sahihi na kupanga kikosi vizuri (sio kama ya kule Lesotho) na morali ya vijana ikiwa juu huenda tukatoa ushindani kwa hao miamba.Kundi zuri, nilikuwa naogopa tu kuwa kundi moja na mwenyeji.....Kama tulikuwa tunataka Afcon hatuna budi kujipanga vizuri na Kocha kuchagua wachezaji sahihi
Huku WanyamaUnaelewa unachokiongea lakini?! Wa kawaida nani hapo,huku Mane huku Riyadh Marez,
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia hayo makundi yalivyo then unaona lipi lingekuwa nafuu hapo.Ila hawa CAF wanampango gani na sisi kwa nini tunatokea nyuma shiti tungepangwa juu huku mwishoni tena aaagh!
Amunike asitufanyie yale ya kule Lesotho hatutapenda tudhalilike kwa kufanya majaribio kwenye michuano mikubwa kama hii.Sare moja, kufungwa moja na kushinda moja. [emoji81][emoji75][emoji74][emoji78][emoji75]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimbabwe anaenda kula nyingiMechi ya ufunguzi
June 21 Ni
Egypt vs ZimbabweView attachment 1070017
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu upangaji wa kikosi, formation ya Amunike na wachezaji atakaochagua si huenda ikaamua hatima yetu?Bila kumung'uny'a maneno Tanzania hatuna uwezo wa kupata point hata moja mbele ya washindani wetu watarajiwa.
Algeria huyu tunamjua alishatupiga nyingi tujipange kupunguza idadi.
Senegal huyu anaweza kutufedhehesha na tusiwahi sahau kwa miaka 30 ijayo.
Kenya wanatuzidi fiziki wana nguvu kuliko sisi hatuna historia nzuri dhidi ya hawa wanaafrika mashariki wenzetu