Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viva UgandaNdugu zetu wameweka chuma cha pili
Duh hapo ndio vita ya kumtaka kagoma itaongezekaAucho Out
Injury
Kudus hamna mtu anazunguka TU uwanjani kakosa clear chance zaidi ya mbili Wanacheza ki star sana labda mzunguko wa pili wataamkaKudus vipi? anazingua
Acha uongo weweYah hata ya Burundi na Senegal iko Mkapa muda huu
Hakuna cha kuhamishwa mechi wala nini, CAF walishauruhusu kutumiwa kwenye mechi yao dhidi ya Villa. Ingekuwa CAF wameukataa ni mapema tu venue ingeshajulikana kuwa ni sehemu tofauti. Mechi ni wiki hii na swala la uwanja huwa taarifa hutolewa wiki moja kablaIla ule uwanja ni mbaya sana na huenda hata game ya Yanga ikahamishwa isipigwe pale caf wako serious sana kwenye suala la viwanja nadhani game italetwa Nambole uganda
Hivi Mbona Timu ya Taifa wamekuja Dar?Hakuna cha kuhamishwa mechi wala nini, CAF walishauruhusu kutumiwa kwenye mechi yao dhidi ya Villa. Ingekuwa CAF wameukataa ni mapema tu venue ingeshajulikana kuwa ni sehemu tofauti. Mechi ni wiki hii na swala la uwanja huwa taarifa hutolewa wiki moja kabla
Uongo upi game imepigwa jioni na kuisha Moja bilaAcha uongo wewe
Kwa Nini team ya taifa inatumia uwanja wa Benjamin Mkapa!?Hakuna cha kuhamishwa mechi wala nini, CAF walishauruhusu kutumiwa kwenye mechi yao dhidi ya Villa. Ingekuwa CAF wameukataa ni mapema tu venue ingeshajulikana kuwa ni sehemu tofauti. Mechi ni wiki hii na swala la uwanja huwa taarifa hutolewa wiki moja kabla
Kwa Nini team ya taifa inatumia uwanja wa Benjamin Mkapa!?
Uganda walizembea sana kutoa sare na south Africa. Leo wangekuwa wanasubiria mechi moja tu watinge fainali.
Aah thubutuu maji yamezidi unga mkuu wanywe uji tu ugali haupikiki Tena.Ethiopia inaweza kuwaduwaza watu leo