TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Vile vitoto vya Ghana vinakimbiza balaa!tukikutana navyo lazima tuvishughulikie kwa kuvivunga magori ma nne kipindi cha kwanza vichanganyikiwe kabisa
Matokeo ya mechi za leo:
Ghana 5 - 0 Gabon.
Cameroon 1 - 1 Guine.
Kwa matokeo haya, Ghana amesha fuzu nusu fainali..