Afghani rice (Qabuli palao)

Afghani rice (Qabuli palao)

Nategemea sana Farkhina utakuwa unatokea sehemu za pwani, ikiwa unaelekea kusini ya nchi yetu kwenye nchi ya jirani kuna mji unaitwa Pemba, hapo unapanda jahazi kuelekea mashariki utafika kwenye visiwa maarufu huko ndiko nilikoikuta tapo
sasa nimeisha kupa fununu jaribu kuuliza tena tapo ndio nini?
Shurba na mie tena mbona naijua ila hiyo tapo ndio niko hoi na hilo neno tu sijawah lisikia

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Msamiati huu nmekuja kuujua baada ya kukaa na countrymates zangu wenye asili ya unguja. Kule kwetu sie twaita unga wa pilau!

Mambo ya msa hayo ati lol au nimekosea

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom