Afghanistan: Serikali ya Taliban yapiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni

They are living in the past 😐😐😐 aisee mzungu na aheshimiwe yaani wao wanadhani kwa kufanya hivyo wataficha kinachoendelea huko. Mzungu akitaka hata kujua umebanwa na kimba na hujaenda chooni anajua.
 
Marufuku nyingine imetoka huko Afghanistan ni ya kuhusu kunyoa Ndevu Marufuku Mwanaume yeyote kunyoa Ndevu..πŸ˜‚πŸ˜‚

Sijui na Nywele za huko chini nako Fatwa itatolewa liniπŸ€£πŸ€£πŸ˜‚
 
Safi sana Hadi WAKOME NA UAHIRA WAO
 
Mmh kuwa muislam hapa duniani nalo tatizo aisee
🀣🀣Sheria km hizi kwao wanazikimbia,wanaenda ulaya ,halafu wakifika kule tena wanataka waanzishe km hizi
The Mongolian Savage upoo
 
Vitu wanavyofanya Taleban wanaweza wasikae madarakani kwa muda mrefu sana wanatengeza upinzani mkubwa huko mbeleni kutoka makundi mbalimbali.
Labda kwa msaada wa nchi za nje ndio taleban watatolewa... raia wa afghanstan waoga sana.. jeshi lao lilipewa mafunzo na silaha za kutosha na marekani.. ila walizitupa chini na kukimbia baada ya mapambano kuwa makali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…