Afghanistan: Serikali ya Taliban yapiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni

Afghanistan: Serikali ya Taliban yapiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni

😂😂😂
Huwezi kuamini Taliban ndio wanaitafiri dini ya kiislam kwa usahihi wake.

Juzi walipiga maarufu wanawake kuongeleshana ama mwanamke kuongea na mwanamke mwenzake.

Walipiga maarufu watu kunyoa ndevu, ni marufuku kunyoa ndevu na wakatangaza kufunga saluni zote nchi nzima. Sijui kama jamaa wananyoa hata mavuzi.

Walipiga maarufu saluni za kike.

Walipiga marufuku wanawake kutembea mtaani, mwanamke anatakiwa kua ndani muda wote kama utumbo.

Wapige marufuku magari, simu, redio, tv, bunduki, vitanda, magodoro, na kila kitu.
 
Sio kwa ubaya ile the ndevus akili hamna kabisaa hapo yatakimbia mbio nchi za wakristo na masikini wakristo hawana hiyana wala kinyongo watawakaribisha hapo wapoleee wakishakaa na kuanza kuota vitambi tu , haoooo wataanza kujidai wanataka sheria yani the ndevus bin kobazi ni jamii moja ya hovyo mno
 
Hawa tangu wapige marufuku kuonesha wanyama kwenye tv nilihoji kwani wao siyo wanyama? Naona Sasa wameufanyia kazi Ushauri wangu. Kila siku tunasema elimu ni kitu Cha muhimu sana. Fikiria mtume alikuwa hajui kusoma na kuandika et ndiyo anakuwa influencer wako? Alikuwa na IQ ndogo sana ila kwa sababu aliishi kwenye jamii ya wajinga akachota akili za watu wakamuamini. Ndiyo maana ukiangalia maeneo mengi ambayo Imani Kali za kiislam zimeenea ni Yale yenye watu wajinga wasio na upeo. V
 
Safi sana Talebani, tunapaswa kuheshimu maisha yao waliyoamua kuishi.

Leo hii wote tunalalamikia akina dada kuvaa hovyo hovyo na kudhurula mitaani, wengine tunawakuta kwenye maana usiku wanajiuza tunahangaika nao kila siku waache ukahaba.
 
Hilo tamko lao wamelitoa kwa bango au wameonrkana kwenye TV?

Afya ya akili ni janga la dunia
Kupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.

Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.

Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.

Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.

View attachment 3160807
 
Upumbavu mtupu,
Hapa ni hata baada ya kukaliwa na jeshi la Marekani kwa miaka 20!
 
Kama kuna Watu wanamtetea Kiongozi wao kulala na mtoto wa Miaka 9, unategemea akili itatoka wapi.
 
Kupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.

Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.

Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.

Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.

View attachment 3160807
kumbe ndugu zetu wanamambo ya ajabu sana,ila wamejificha
 
Back
Top Bottom