PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Ifike kipindi wapige marufuku bunduki, TV na magari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No no, umekosea, hawajasema kama hawataki television ya mzungu; wamesema hawataki maudhui ya kizungu kwenye television za kizungu. Yaani wanachagua vya kuvichukiwa halafu wanahusisha na dini. Hivi kama sio UNAFIKI ni nini? Bunduki unatumia za kwao, unafikisha hiyo taarifa kwa umma kupitia vifaa vya hao hao ambao unawachukia, miwani waliovaa machoni wamenunua kutoka kwao na kupitia ndege za hao hao Wazungu. Bado napata shida sana kuwaona watu wana amini kwamba Uislamu ni dini ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi. Napata shida sanaHawataki television ya mzungu lakini wanatumia bunduki za wazungu kuchinjana wao Kwa wao
Halafu FaizaFoxy mwenyewe si nasikia yupo zake Canada!?Waislamu dunia nzima hakuna anayetaka kwenda kuishi hiyo nchi.
Faiza Foxy atatukana Marekani na washirika wake ila akiambiwa akaishi Afghanistan hakubali labda aende huku mmemziba macho
Hii alishasema yeye mwenyeweHalafu FaizaFoxy mwenyewe si nasikia yupo zake Canada!?
Halafu anawaita makafiri; mbona hawaendagi nchi za Waislamu wenzao? I think SI unit ya unafiki ni UISLAMU 😏😏Hii alishasema yeye mwenyewe
Wewe sio muislamu utasema sana na utaumia sana lkn ndio hivyo sasaJamaa wanaishi mwaka 1200 ..haya maimani mengine ni tabu sana.
Kuna kafiri kaja na kipande cha ardhi? Nchi si mumezikuta tu?Halafu anawaita makafiri; mbona hawaendagi nchi za Waislamu wenzao? I think SI unit ya unafiki ni UISLAMU 😏😏
Vitu wanavyofanya Taleban wanaweza wasikae madarakani kwa muda mrefu sana wanatengeza upinzani mkubwa huko mbeleni kutoka makundi mbalimbali.Kupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.
Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.
Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.
Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.
View attachment 3160807
Ukweli kuna nchi zina udumavu wa akili kulikopindukiaKupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.
Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.
Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.
Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.
View attachment 3160807
Another hypocritical statement from hypocrite man from hypocritical religion.Kuna kafiri kaja na kipande cha ardhi? Nchi si mumezikuta tu?
Mabwege kweli 🤣SI ili yaendelee kufanya biashara ya opium wenzao wasipate taarifa yoyote
Sasa mtu anaabudia sanamu kweliJamaa wanaishi mwaka 1200 ..haya maimani mengine ni tabu sana.