Afghanistan: Serikali ya Taliban yapiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni

Afghanistan: Serikali ya Taliban yapiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni

Hawataki television ya mzungu lakini wanatumia bunduki za wazungu kuchinjana wao Kwa wao
No no, umekosea, hawajasema kama hawataki television ya mzungu; wamesema hawataki maudhui ya kizungu kwenye television za kizungu. Yaani wanachagua vya kuvichukiwa halafu wanahusisha na dini. Hivi kama sio UNAFIKI ni nini? Bunduki unatumia za kwao, unafikisha hiyo taarifa kwa umma kupitia vifaa vya hao hao ambao unawachukia, miwani waliovaa machoni wamenunua kutoka kwao na kupitia ndege za hao hao Wazungu. Bado napata shida sana kuwaona watu wana amini kwamba Uislamu ni dini ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi. Napata shida sana
 
Waislamu dunia nzima hakuna anayetaka kwenda kuishi hiyo nchi.

Faiza Foxy atatukana Marekani na washirika wake ila akiambiwa akaishi Afghanistan hakubali labda aende huku mmemziba macho
 
Kupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.

Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.

Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.

Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.

View attachment 3160807
Vitu wanavyofanya Taleban wanaweza wasikae madarakani kwa muda mrefu sana wanatengeza upinzani mkubwa huko mbeleni kutoka makundi mbalimbali.
 
Kupitia vyombo vya habari Kundi la Taliban linaloongoza Serikali ya Afghanistan limepiga marufuku Binadamu na Wanyama kuonekana kwenye Televisheni katika maudhui ya aina yoyote kuanzia Matangazo ya Taarifa ya Habari na burudani nyinginezo na badala yake vioneshwe vitu kama majengo, magari na miti, na vitu vinginevyo, Sauti tu ya mtangazaji ndio isikike ikitangaza ila binadamu anayetangaza hasionekane wala mnyama wa aina yoyote kuonekana kwenye luninga.

Taliban wamesema sheria hiyo inatokana na maandiko ya kiislamu yanayojulikana kama "Sharia Law". Taliban waliongeza kuwa picha za wanyama na sura za watu kwenye Televisheni utumika kwenye Siasa za Ulaya na Marekani. Hivyo ni marufuku Televisheni kuonesha sura na umbo la binadamu na mnyama kwenye Televisheni.

Maafisa wa serikali hawatakiwi kuonekana kwenye Televisheni wakati wa kutoa hotuba au maelezo, sauti zao tu ndio zisikike.

Baadhi ya Waafaghan wamepinga hatua hiyo na kusema unaminya uhuru wa kutoa habari ususani za mahojiano.

View attachment 3160807
Ukweli kuna nchi zina udumavu wa akili kulikopindukia
 
kwa mwendo ni suala la mda watapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe na nchi haitotawalika tena waache wachochee moto tu nchi sahivi imetulia badala kwenda mbele wajinga hawa wanarudisha wenzao nyuma wakati ule na marekani wa roho mkononi..huu upuuzi wao hautodumu mda mrefu kuwafanya walio wengi kama punda ipo siku watachapana tu
 
Kama nawaelewa hawa jamaa, kuwa kwenye televisheni

1732535540594.jpeg
 
Back
Top Bottom