Afghanistan: Taliban imesema ni marufuku mfanyakazi wa Serikali kutokuwa na Ndevu. Kama huna Ndevu usikanyage kazini

Afghanistan: Taliban imesema ni marufuku mfanyakazi wa Serikali kutokuwa na Ndevu. Kama huna Ndevu usikanyage kazini

Usahihi au kutokuwa sahihi kuna tegemea tamaduni na desturi za eneo husika

Hata Siasa za Znz miaka kadhaa nyuma ilikuwa huwezi kupewa madaraka ya kisiasa kama wewe ni mfuga ndevu kwa kuwa Wahafidhina walinzi wa Mapinduzi matukufu walikuwa wana link ndevu na wapinga mapinduzi
Ndevu ni tofauti na suruali. Ndevu ni natural phenomenon. Hazioti kwa mapenzi au utashi wa mtu.

Kuweka kigezo cha lazima (mandate) katika taasisi zinazohudumia wananchi wote kwa kutumia kitu ambacho kiko nje ya uwezo ama utashi wa kibinadamu kama ndevu ni sahihi?
 
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.

Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.

Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂


Afghanistan ndio the most uncivilized country in the world, huwa naamini wanapofikiri huwa hawatumii ubongo.
 
Hawa jamaa ndio maana watu walikimbia nchi siku wanachukua uongozi.. kesho utasikia hamna kupika sambusa zina pembe kama shetani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndevu ni tofauti na suruali. Ndevu ni natural phenomenon. Hazioti kwa mapenzi au utashi wa mtu.

Kuweka kigezo cha lazima (mandate) katika taasisi zinazohudumia wananchi wote kwa kutumia kitu ambacho kiko nje ya uwezo ama utashi wa kibinadamu kama ndevu ni sahihi?
Wanunue tu mawigi ya ndevu
 
Usahihi au kutokuwa sahihi kuna tegemea tamaduni na desturi za eneo husika

Hata Siasa za Znz miaka kadhaa nyuma ilikuwa huwezi kupewa madaraka ya kisiasa kama wewe ni mfuga ndevu kwa kuwa Wahafidhina walinzi wa Mapinduzi matukufu walikuwa wana link ndevu na wapinga mapinduzi
Zipo tamaduni ambazo ni sahihi, at least jamii karibu zote duniani tunaweza kukubaliana hivyo. Pia, zipo tamaduni potofu ambazo baadhi ya hizo, dunia ilikwisha achana nazo zamani, tumeishia kuzisoma kwenye vitabu.

Katika suala la usahihi, zipo sababu ama vigezo ambavyo wote ama wengi wetu tunaweza kuvitumia kupitia maarifa tuliyonayo kukubaliana kuwa utamaduni fulani si sahihi hata kama kuna eneo mahali fulani linafuata utamaduni huo wakiuona kuwa ni sahihi kwao.
 
Zipo tamaduni ambazo ni sahihi, at least jamii karibu zote duniani tunaweza kukubaliana hivyo. Pia, zipo tamaduni potofu ambazo baadhi ya hizo, dunia ilikwisha achana nazo zamani, tumeishia kuzisoma kwenye vitabu.

Katika suala la usahihi, zipo sababu ama vigezo ambavyo wote ama wengi wetu tunaweza kuvitumia kupitia maarifa tuliyonayo kukubaliana kuwa utamaduni fulani si sahihi hata kama kuna eneo mahali fulani linafuata utamaduni huo wakiuona kuwa ni sahihi kwao.
Tuanzie kwanza kwny utamaduni wa ushoga!

Kwa hiyo Jamii kubwa ikikubaliana nao inakuwa sahihi?

Mie kwa mtazamo wangu usahihi wa jambo hautegemei wangapi wanakubali au wangapi wanapinga kwa kuwa kukubali au kukataa kuna sababu kadhaa, mf. Kuna Jamii zimejikuta zinahalalisha haramu ili tu wasitengwe na jumuia za kimataifa
 
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.

Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.

Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂




Sasa kwa wale ambao ndevu hazioti wafuge ndevu bandia??!!
 
Tuanzie kwanza kwny utamaduni wa ushoga!

Kwa hiyo Jamii kubwa ikikubaliana nao inakuwa sahihi?

Mie kwa mtazamo wangu usahihi wa jambo hautegemei wangapi wanakubali au wangapi wanapinga kwa kuwa kukubali au kukataa kuna sababu kadhaa, mf. Kuna Jamii zimejikuta zinahalalisha haramu ili tu wasitengwe na jumuia za kimataifa
Kwa hiyo kwako SI Unit ya kujua usahihi wa jambo umeegemea kwenye factor zipi?
 
Sasa kwa wale ambao ndevu hazioti wafuge ndevu bandia??!!
kabla ya hapo walitoa tamko kua ni mwiko kwa barbershop kunyoa wanaume ndevu

Hilo la kusema hazioti sijajua wamejipangaje ku deal nalo maana kuna watu wana umri mkubwa lakini hawazijui ndevu
 
Kwa hiyo kwako SI Unit ya kujua usahihi wa jambo umeegemea kwenye factor zipi?
Unategemea hoja husika sio wengi wakiunga mkono au kupinga basi nawe unazolewa kwa hoja watu wengi au maeneo mengi wanakubali/wanakataa jambo fulani

Kuna Ki NGO kimoja kilienda eneo fulani kupinga ukeketaji…akakutana na watu wakawahoji ikiwa mnakubali ushoga kwa hoja kuwa ni uamuzi binafsi jee tukisubiri ma binti wafikie age of majority halafu wafanye uamuzi wa hiyari kukeketwa mtakuwa radhi kutuunga mkono kama mfanyavyo kwa wapenzi wa jinsia moja? … wakaanza blaa blaaa sijui azimio sijui sera za kupinga ukeketaji ni sera ya Dunia na
 
Werevu wa NATO wamepambana nao kwa 20 years wamekimbia halafu Wee M NATO kutoka wanging'ombe unawaita Wajinga…ule ni uamuzi wao kwa matakwa yao na hawataki kupangiwa

Sie werevu hadi leo kuamua tu kuunga Mkono au kupinga vita vya Urusi vs Ukraine tunaogopa
Majinga mno yale majamaa
 
Unategemea hoja husika sio wengi wakiunga mkono au kupinga basi nawe unazolewa kwa hoja watu wengi au maeneo mengi wanakubali/wanakataa jambo fulani

Kuna Ki NGO kimoja kilienda eneo fulani kupinga ukeketaji…akakutana na watu wakawahoji ikiwa mnakubali ushoga kwa hoja kuwa ni uamuzi binafsi jee tukisubiri ma binti wafikie age of majority halafu wafanye uamuzi wa hiyari kukeketwa mtakuwa radhi kutuunga mkono kama mfanyavyo kwa wapenzi wa jinsia moja? … wakaanza blaa blaaa sijui azimio sijui sera za kupinga ukeketaji ni sera ya Dunia na
Kwa mada hii iliyowasilishwa na mleta mada una conclude vipi kupitia kanuni zako?
 
Back
Top Bottom