Afghanistan: Taliban imesema ni marufuku mfanyakazi wa Serikali kutokuwa na Ndevu. Kama huna Ndevu usikanyage kazini

Afghanistan: Taliban imesema ni marufuku mfanyakazi wa Serikali kutokuwa na Ndevu. Kama huna Ndevu usikanyage kazini

Ina maana hujui kibano walichokipata hadi chaguzi zao hoja kuu ikawa kurudisha Majeshi nyumbani, hujui kuwa kwa miaka 20 yote gharama ya kuweko kule ilikuwa juu sana kutokana n mpambano

Halafu unajichanganya mara hao ni vibaraka wa Marekani mara wanalia lia wapewe fund za kuendesha Serikali, iweje sasa kibaraka anyimwe fedha za kuendesha Serikali? Iweje kibaraka asitambuliwe na hayo Mataifa

Afghan kule Kaa la Moto…USSR alitoka Mbio kama ilivyokuwa kwa NATO

M NATO wa Nzega unasema wameondola baada ya kukamilisha Malengo wakati malengo ilikuwa kuwasambaratisha Taleban ambao ndio leo wanaongoza hilo Taifa

Malengo ni kutokomeza 'Ugaidi' ambao leo wanasema hadharan kuwa kuondoka ni kuruhusu magenge ya magaidi kukusanyika tena


Najua unaumia sana lakin sio ajabu jamaa kukimbia Kichapo…walifanya hivyo Vietnam pia
Jipe moyo mtalebani wa buza...ila chini ya Westerners kila goti litapigwa.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.

Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.

Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂


Hawa washenzi Wana mambo ya kidwanzi Sana,
 
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.

Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.

Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂


Viongozi wa namna hii wenye misimamo thabiti ndio hasa wanaohitajika katika dunia hii ya leo iliyopo kwenye kipindi cha mpito.
Hata sisi huku tunaodeka kwa kuongozwa na Mama huko tutafika japo hatujui ni lini na kwanamna gani, maadhali dunia haijasimama mabadiliko hayaepukiki.
 
Nchini Afghanistan, viongozi wa Taliban wamepiga marufuku wafanyakazi wa serikali ambao hawana ndevu kufika ofisini.

Taliban wanasema mfanyakazi yoyote wa serikali lazima awe na ndevu za kueleweka, hakuna kunyoa ndevu na wafanyakazi wote ambao hawana ndevu wamepewa muda kabla hawajafukuzwa kazi moja kwa moja.

Ni uchaguzi wako, ufuge ndevu ama ufukuzwe kazi😂


Ndevu ni sunnah sheikh....
 
Muarabu aliachia watu laana ya dini yake, utakuta hata huku Afrika mtu ameng'ang'ania mindevu kisa dini ya muarabu.
 
Back
Top Bottom