Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Taliban wako kwenye operesheni ya kuwatafuta watu waliofanya kazi kwa vikosi vya Nato au serikali ya zamani ya Afghanistan, waraka wa Umoja wa Mataifa umeeleza.
Usema wapiganaji hao wamekuwa wakienda nyumba kwa nyumba kuwatafuta wanaowalenga na kuzitishia familia zao.
Kundi hilo lenye msimamo mkali wa Kiislamu limejaribu kuwahakikishia Waafghan tangu kutwaa madaraka, na kuahidi hakutakuwa na "kisasi".
Lakini kuna hofu kwamba Taliban wamebadilika kidogo tangu miaka ya ukatili ya 1990.
Onyo ambalo limetolewa kuhusu kundi hilo linalowalenga "washirika" lililetwa katika hati ya siri na Kituo cha RHIPTO cha Norway cha Uchambuzi ambacho hutoa usaidizi wa masuala ya ujasusi kwa UN.
"Kuna idadi kubwa ya watu ambao kwa sasa wanalengwa na Taliban na tishio liko wazi," Christian Nellemann, ambaye anaongoza jopo la walioandaa ripoti hiyo, aliiambia BBC.
"Ik kwenye maandishi kuwa wasipojisalimisha Taliban watakawamata na kuwashtaki, na kuwaadhibu wanafamilia kwa niaba ya watu hao."
Alionya kuwa mtu yeyote kwenye orodha ya Taliban yuko katika hatari kubwa, na kwamba kunaweza kuwa na mauaji ya watu wengi.
Sawa na maji na mafuta!Uislam na roho mbaya
Wakiitwa Terrorists wanasema wanasemwa vibaya. Sasa kuwafanyia hivyo raia ni nini kama sio ku' terrorise raia.
Hv hakunaga wanajeshi huko?!?Tz migambo tuna wachukulia poa ila Afghanistan wanamgambo ni moto mwingine aisee
Ukiwaita hivyo,kuna watu humu wanakumind vibaya yani,nadhani hayo wanayofanya itakuwa sio ugaidi.
Ngoja uone watakavyokushambulia.
Lazima wapigwe hawaZengwe hilo linatengenezwa baada ya kuona hakuna machafuko.
si walisema hawatalipiza kisasi ?
imekuaje tena ?
Hivi ni kweli Taliban wamepigana na Us wakashinda?Baada ya kushindwa majeshi ya marekani na kuikimbia nchi, unategemea UN na mwenzie wataizungumzia vizur afghan!!!! Na bado watazushiwa mengine mbali na hilo.
Mfia dini at workBaada ya kushindwa majeshi ya marekani na kuikimbia nchi, unategemea UN na mwenzie wataizungumzia vizur afghan!!!! Na bado watazushiwa mengine mbali na hilo.
Hivi ni kweli Taliban wamepigana na Us wakashinda?
Mbona mnapenda kujipa moyo wa kijinga?
Mfia dini at work
Hv hakunaga wanajeshi huko?!?
ni migambo tu!!?
Ww ndo inabid usepe mburula mkubwa we yan UN washindwe kuizungumzia vzur afghanstan, kisa?Hoja hujibiwa kwa hoja, huna la kuchangia sepa mzee.
Ulitaka wakae milele?Sasa, jeshi lao limefata nini huko miaka yote 20? Na isitoshe jeshi la serikali lilikuwemo!!!!! Labda mwenze2 ulikuwepo afghan waweza kutupia nondo
Tz migambo tuna wachukulia poa ila Afghanistan wanamgambo ni moto mwingine aisee
Afghanistan ni moja kati ya nchi masikini sana duniani but inamiliki silaha nzuri na za kisasa and very expensive yaani halafu wanaozitumia hizo silaha hawana viatu vya maana miguuni. Wafrica na waarabu nadhani tunafanana fanana