Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Ndio hivyo
Cjui wanajickiaje nchi ikiwa katik machafuko ilhali kwao wanaishi kwa amani. Wazungu co watu wazuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo
Ila pia hao wagambo wa Taliban wana ndinga kali....Ford Ranger pick up saafi!Afghanistan ni moja kati ya nchi masikini sana duniani but inamiliki silaha nzuri na za kisasa and very expensive yaani halafu wanaozitumia hizo silaha hawana viatu vya maana miguuni. Wafrica na waarabu nadhani tunafanana fanana
Takbir al-Tashreeq -تكبير التشريقOsama amekufa lini, na Mulla amekufa lini? Kwann wasiondoke baada ya kuuawa kwao, kama lengo lao ni hilo!
Na je, una ushahidi gani kama walimkamata osama na kumtupa baharini? Hizi Propaganda za western mnaziamini mno, at end of the day mtajikuta mlikua wajinga.
Takbir al-Tashreeq -تكبير التشريق
Mbna povu limekutoka sana MKUU[emoji16][emoji16][emoji38]Wamalizane tu misukule hao wameganda kwenye dini ambayo kila siku inawasababishia maafa badala ya amani na upendo, yaani waachwe hivyo hivyo wachinjane na kulipuana kwa kwenda mbele labda ipo siku watatia akili.
Kwan walivoizushia IRAQ kua inasilaha za Nyuklia wakat haina ilikua kisa???Ww ndo inabid usepe mburula mkubwa we yan UN washindwe kuizungumzia vzur afghanstan, kisa?
Waafrika ujinga wenu haumithiliki msijifananishe nawatu wowote DUNIANI yaani kama mliumbwa kuja kusindikiza wenzenu hapa dunianiWaafrica kwenye hili unawaonea hakuna race ya wajinga duniani km waarabu
Hata kidogo mbwa wale[emoji35][emoji35][emoji35]Cjui wanajickiaje nchi ikiwa katik machafuko ilhali kwao wanaishi kwa amani. Wazungu co watu wazuri.
Hata kidogo mbwa wale[emoji35][emoji35][emoji35]Cjui wanajickiaje nchi ikiwa katik machafuko ilhali kwao wanaishi kwa amani. Wazungu co watu wazuri.
Hata kidogo mbwa wale[emoji35][emoji35][emoji35]
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Yaah, ndio ninacho shangaa, watumiajiwa wa hizo ndinga kali kali na watumiaji wa hizo silaha za bei mbaya na za kisasa wao wenyewe hawana viatu; hi kitu inanishangazaga sana yaani.Ila pia hao wagambo wa Taliban wana ndinga kali....Ford Ranger pick up saafi!