Afghanistan: Taliban 'wafanya msako wa nyumba kwa nyumba' Umoja wa Mataifa umeeleza

Afghanistan: Taliban 'wafanya msako wa nyumba kwa nyumba' Umoja wa Mataifa umeeleza

Ulitaka wakae milele?
Lengo lao lilikuwa kumkamata Osama na kumuadhibu Mullamulah na hiyo kazi waliimaliza, unatakaje?
Vita ni gharama walikuwa sahihi kuondoka

Osama amekufa lini, na Mulla amekufa lini? Kwann wasiondoke baada ya kuuawa kwao, kama lengo lao ni hilo!

Na je, una ushahidi gani kama walimkamata osama na kumtupa baharini? Hizi Propaganda za western mnaziamini mno, at end of the day mtajikuta mlikua wajinga.
 
Trump alisemaje?
Screenshot_20210820-182505_Instagram.jpg
 
Askari wa taleban ni wembamba wanahimili jangwa ,hukimbia kwa miguu kwa muda mrefu kwa kutegemea maji kidogo na mkate au chapati kavu hawawezi kushindwa na majitu yaliyonenepeana yaliyozoea starehe
Hii ndio Siri ya mafanikio ya kesho Bora na hatari la taleban.
 
Jamaa wanacheka na raiya mtaani bila bughdha yani.

Watatokea wasio julikana wataanza fujo ili tu kusitawalike kila rahisi
 
Waafrica kwenye hili unawaonea hakuna race ya wajinga duniani km waarabu

👆🏽
Haya magaidi yanaiharibu dunia

👆🏽

Hata km sio waarabu ila ni wajinga na magaidi km waarabu

👆🏽

Ona sasa, yan unajionesha wazi kuwachukia viumbe wa Mwenyezi Mungu ata aibu huoni kijana, cjui walikukosea nini mackini ya Mungu while wao hawana taimu na wewe 😁wa2 kama wewe ertugrul asingekuacha mkuu 😁

The Icebreaker
dos.2020

Anachokitafuta ni nini 😁😁😁
 
Back
Top Bottom