Afghanistan yatuma Brigade moja ya wapigani Kusaidia Lebanon

Afghanistan yatuma Brigade moja ya wapigani Kusaidia Lebanon

Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military base kuimefanya kuwa na Jeshi imara na sasa wanaanza kutoa msaada kwa Nchi jirani. Masaa machache Brigade ya Fatemiyoun imetua Syria tayari kuelekea Lebanon kutoa kipigo kwa Wanamgambo wa Israel, ikumbukwe Taliban ni wapigani wa Gorrila

BREAKING:
🇦🇫🇮🇱🇱🇧 Thousands of additional Afghan fighters from the Fatemiyoun Brigade have arrived in Syria to bolster Hezbollah's ranks if needed - I24

It's already happening. After announcing just a few weeks ago, the Taliban are already fulfilling their promise.

Taliban brigades are being formed and are preparing in Syria for the war with Israel. Next are the Houthis, who have a huge mobilization potential - 2 million reservists.

@IranObserver0
Taliban ni Sunni OG hawaivi na mashia wa hezibollah. Kama kweli wameenda huko labda ni gia tu kuondokea Afghanistan.
 
Taliban ni Sunni OG hawaivi na mashia wa hezibollah. Kama kweli wameenda huko labda ni gia tu kuondokea Afghanistan.
Taliban ndio wanaoendesha Afghanistan,waondoke kwanini!?
Middle east mambo ya usunni na shia yameshawekwa pembeni labda kama hujafuatilia.
Houthi ni Sunni na wana muunganiko na Hizbollah na Iran ambao ni shia.
Bahrain kuna kundi jipya la wapiganaji la kisunni linafadhiliwa na Iran mashia.
 
Taliban ndio wanaoendesha Afghanistan,waondoke kwanini!?
Middle east mambo ya usunni na shia yameshawekwa pembeni labda kama hujafuatilia.
Houthi ni Sunni na wana muunganiko na Hizbollah na Iran ambao ni shia.
Bahrain kuna kundi jipya la wapiganaji la kisunni linafadhiliwa na Iran mashia.
Houth sio sunni.

The Houthi movement (⫽ˈhuːθi⫽; Arabic: الحوثيون al-Ḥūthiyūn [al.ħuː.θi.juːn]), officially known as Ansar Allah[a] (أنصار الله ʾAnṣār Allāh, lit. 'Supporters of God'), is a Shia Islamist political and military organization that emerged from Yemen in the 1990s. It is predominantly made up of Zaidi Shias

Hujaelewa vizuri division iliyopo kati ya Sunni na Shia.
Ni rahisi shia kutoa ushirikiano kwa sunni lakini sio rahisi sunni kutoa ushirikiano kwa Shia. Kimtazamo, wasunni wanaowaona mashia kama makafiri tu. Hata animosity iliyopo kati ya Saudia na Iran is about sunni-shia differences.
 
Houth sio sunni.

The Houthi movement (⫽ˈhuːθi⫽; Arabic: الحوثيون al-Ḥūthiyūn [al.ħuː.θi.juːn]), officially known as Ansar Allah[a] (أنصار الله ʾAnṣār Allāh, lit. 'Supporters of God'), is a Shia Islamist political and military organization that emerged from Yemen in the 1990s. It is predominantly made up of Zaidi Shias

Hujaelewa vizuri division iliyopo kati ya Sunni na Shia.
Ni rahisi shia kutoa ushirikiano kwa sunni lakini sio rahisi sunni kutoa ushirikiano kwa Shia. Kimtazamo, wasunni wanaowaona mashia kama makafiri tu. Hata animosity iliyopo kati ya Saudia na Iran is about sunni-shia differences.
Basi hujui historia ya hilo kundi.
Umeokoteza tu article Wikipedia ukaja kuweka hapa.
Yemeni hilo kundi la Houthi lilianzishwa na ANSWAR,ndio maana lilianza kujulikana kama answarullah,Yemeni kuna kundi la shia ambao sio shia waliokufuru,ni shia ambao wana mtizamo tofauti na shia wa Iran,na shia wa Yemeni hawafuati kanuni za kama shia wa Iran na sehem zingine,hata kuswali ni tofauti,hata itikadi tofauti,ndio hao waliokuja kuongeza nguvu ndani ya kundi.
Hiyo Iran imeanza kuja kuisapoti Houthi miaka ya 2010s.
Ila kabla ya hapo Sunni na shia wamefanya kazi pamoja ndani ya Houthi/Yemeni.
Bahrain kuna kundi jipya la kisunni na linafadhiliwa na Iran.
Sasa hivi ugomvi wa madhehebu hakuna umeshafutika,watu wanakaa meza moja kuzungumza.
Labda kama hufuatilii habari.
 
Basi hujui historia ya hilo kundi.
Umeokoteza tu article Wikipedia ukaja kuweka hapa.
Yemeni hilo kundi la Houthi lilianzishwa na ANSWAR,ndio maana lilianza kujulikana kama answarullah,Yemeni kuna kundi la shia ambao sio shia waliokufuru,ni shia ambao wana mtizamo tofauti na shia wa Iran,na shia wa Yemeni hawafuati kanuni za kama shia wa Iran na sehem zingine,hata kuswali ni tofauti,hata itikadi tofauti,ndio hao waliokuja kuongeza nguvu ndani ya kundi.
Hiyo Iran imeanza kuja kuisapoti Houthi miaka ya 2010s.
Ila kabla ya hapo Sunni na shia wamefanya kazi pamoja ndani ya Houthi/Yemeni.
Bahrain kuna kundi jipya la kisunni na linafadhiliwa na Iran.
Sasa hivi ugomvi wa madhehebu hakuna umeshafutika,watu wanakaa meza moja kuzungumza.
Labda kama hufuatilii habari.
Sawa.
 
...The Houthis, who adhere to a branch of Shia Islam known as Zaidism, have staged periodic uprisings since 2004 in an effort to win greater autonomy for their northern heartland of Saada province...

 
Mlivyokua hamuna hata akili za kujiongeza
Wanajificha nyuma ya raia ila bomu likipigwa linachagua wakufa wanakufa raia hamas wanapona wanaendelea kukiwasha
Washabiki wa taif teule mmepokonywa mawazo maarifa akili na fikra
Wanakufa wanawake na watoto? Linakuingia akilini?
 
...The Houthis, who adhere to a branch of Shia Islam known as Zaidism, have staged periodic uprisings since 2004 in an effort to win greater autonomy for their northern heartland of Saada province...

ALQAEDA from Afghanistan tena kundi ambalo hata Afghanistan hawaliungi mkono,Yemeni kafuata nini!??
 
Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military base kuimefanya kuwa na Jeshi imara na sasa wanaanza kutoa msaada kwa Nchi jirani. Masaa machache Brigade ya Fatemiyoun imetua Syria tayari kuelekea Lebanon kutoa kipigo kwa Wanamgambo wa Israel, ikumbukwe Taliban ni wapigani wa Gorrila

BREAKING:
🇦🇫🇮🇱🇱🇧 Thousands of additional Afghan fighters from the Fatemiyoun Brigade have arrived in Syria to bolster Hezbollah's ranks if needed - I24

It's already happening. After announcing just a few weeks ago, the Taliban are already fulfilling their promise.

Taliban brigades are being formed and are preparing in Syria for the war with Israel. Next are the Houthis, who have a huge mobilization potential - 2 million reservists.

@IranObserver0
Hawa ni kama wameona wanachelewa kupata zile bikra 72 hivyo wanazitafuta kwa nguvu sasa.
 
Tunaomba sana Dua mkuu tatizo kuna Mataifa ndio yanaongoza kwa kuvuruga mataifa mengine sasa ili ujichomoe kwenye hiyo mikono yao ndio unakutana mauaji ya wasiokua na hatua chukulia mfani DRC kwa amani haipatikani tatizo ni mabepari yanayonufaika na kutokuwepo amani ili waendelee kuiba ila wanaoteseka ni wasio kua na hatia
Ukitaka AMANI na Yahudi UTAIPATA Tena ya kumwaga!
Ukitaka vita na Yahudi walahi utakoma!
MUNGU WAO Amewaagiza!
👇👇
Torati.19:20-21
[19]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
 
Back
Top Bottom