mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Wakuu habarini!
Hawa wanawake wasiojitambua Ni changamoto Sana!
Hapa kitaa Kuna kisa kimetokea na ugomvi kuzuka wa hali ya juu!
Ni hivi, Kuna mzee mmoja hapa mwenye mke na watoto, ambaye kwa hali ngumu za kimaisha lakini kakomaa na kununua kiwanja kisha akajenga nyumba yake ya kuishi na family yake na ziada ya wapangaji vyumba vitatu!
Sasa, mke wake kaingia kwenye vikoba, kakopa kisirisiri kisha kaweka lehani hati ya nyumba ( ambayo aliiba bila mmewe kujua) kwa madai ya kuwa atarejesha! Mambo yakamgeukia mama huyo lakini ilimladhimu kuwa msiri kwani aliogopa kumshirikisha mmewe.
Muda umeenda Sana, one daya mara ghafla bini vuu , mapolisi, na wanavikoba wamekuja pale wako mobu Sana, wanaulizwa kulikon, mzee anaambiwa hii nyumba sio yako, mke wako aliweka rehani kama dhamana ya mko wa tsh mil5 ambazo zimemshinda kurejesha, muda aliopewa na mahakama umefika na hivyo mahakama imetoa amri ya kutaifishwa kwa nyumba na kiwanja! Kwa hiyo, wakaamuliwa kutoa kila kitu , wakatoa wakafukuzwa kutafuta hifadhi kwa wasamalia.
Siku kadhaa mbele wamekuja ndg wa mwanaume na ugomvi ukazuka kati yao na mwanamke kiasi ambacho mmoja wao ( shemeji yake) akaanyanyua panga kumkata yule mama , lakini kabla hajafikisha upanga, kumbe mme mtu kaingia kumkinga mke wake na hivyo upanga ukatua kwenye mkono wa kulia!
Jamani tuishi na wanawake kwa akili
Hawa wanawake wasiojitambua Ni changamoto Sana!
Hapa kitaa Kuna kisa kimetokea na ugomvi kuzuka wa hali ya juu!
Ni hivi, Kuna mzee mmoja hapa mwenye mke na watoto, ambaye kwa hali ngumu za kimaisha lakini kakomaa na kununua kiwanja kisha akajenga nyumba yake ya kuishi na family yake na ziada ya wapangaji vyumba vitatu!
Sasa, mke wake kaingia kwenye vikoba, kakopa kisirisiri kisha kaweka lehani hati ya nyumba ( ambayo aliiba bila mmewe kujua) kwa madai ya kuwa atarejesha! Mambo yakamgeukia mama huyo lakini ilimladhimu kuwa msiri kwani aliogopa kumshirikisha mmewe.
Muda umeenda Sana, one daya mara ghafla bini vuu , mapolisi, na wanavikoba wamekuja pale wako mobu Sana, wanaulizwa kulikon, mzee anaambiwa hii nyumba sio yako, mke wako aliweka rehani kama dhamana ya mko wa tsh mil5 ambazo zimemshinda kurejesha, muda aliopewa na mahakama umefika na hivyo mahakama imetoa amri ya kutaifishwa kwa nyumba na kiwanja! Kwa hiyo, wakaamuliwa kutoa kila kitu , wakatoa wakafukuzwa kutafuta hifadhi kwa wasamalia.
Siku kadhaa mbele wamekuja ndg wa mwanaume na ugomvi ukazuka kati yao na mwanamke kiasi ambacho mmoja wao ( shemeji yake) akaanyanyua panga kumkata yule mama , lakini kabla hajafikisha upanga, kumbe mme mtu kaingia kumkinga mke wake na hivyo upanga ukatua kwenye mkono wa kulia!
Jamani tuishi na wanawake kwa akili