Afilisiwa kiwanja na nyumba kisha kukatwa mkono kisa madeni ya vikoba vya mke wake

Afilisiwa kiwanja na nyumba kisha kukatwa mkono kisa madeni ya vikoba vya mke wake

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Wakuu habarini!

Hawa wanawake wasiojitambua Ni changamoto Sana!

Hapa kitaa Kuna kisa kimetokea na ugomvi kuzuka wa hali ya juu!

Ni hivi, Kuna mzee mmoja hapa mwenye mke na watoto, ambaye kwa hali ngumu za kimaisha lakini kakomaa na kununua kiwanja kisha akajenga nyumba yake ya kuishi na family yake na ziada ya wapangaji vyumba vitatu!

Sasa, mke wake kaingia kwenye vikoba, kakopa kisirisiri kisha kaweka lehani hati ya nyumba ( ambayo aliiba bila mmewe kujua) kwa madai ya kuwa atarejesha! Mambo yakamgeukia mama huyo lakini ilimladhimu kuwa msiri kwani aliogopa kumshirikisha mmewe.

Muda umeenda Sana, one daya mara ghafla bini vuu , mapolisi, na wanavikoba wamekuja pale wako mobu Sana, wanaulizwa kulikon, mzee anaambiwa hii nyumba sio yako, mke wako aliweka rehani kama dhamana ya mko wa tsh mil5 ambazo zimemshinda kurejesha, muda aliopewa na mahakama umefika na hivyo mahakama imetoa amri ya kutaifishwa kwa nyumba na kiwanja! Kwa hiyo, wakaamuliwa kutoa kila kitu , wakatoa wakafukuzwa kutafuta hifadhi kwa wasamalia.

Siku kadhaa mbele wamekuja ndg wa mwanaume na ugomvi ukazuka kati yao na mwanamke kiasi ambacho mmoja wao ( shemeji yake) akaanyanyua panga kumkata yule mama , lakini kabla hajafikisha upanga, kumbe mme mtu kaingia kumkinga mke wake na hivyo upanga ukatua kwenye mkono wa kulia!

Jamani tuishi na wanawake kwa akili
 
Nimeona nguvu ya upendo wa mume...

Pamoja na yote bado anamlinda mkewe...

Upendo huvumilia, upendo husamehe...
Kweli jamaa anampenda sana mke wake,pamoja na yote.

Wanawake mmbadilike aisee.
 
Wakuu habarini!

Hawa wanawake wasiojitambua Ni changamoto Sana!

Hapa kitaa Kuna kisa kimetokea na ugomvi kuzuka wa hali ya juu!

Ni hivi, Kuna mzee mmoja hapa mwenye mke na watoto, ambaye kwa hali ngumu za kimaisha lakini kakomaa na kununua kiwanja kisha akajenga nyumba yake ya kuishi na family yake na ziada ya wapangaji vyumba vitatu!

Sasa, mke wake kaingia kwenye vikoba, kakopa kisirisiri kisha kaweka lehani hati ya nyumba ( ambayo aliiba bila mmewe kujua) kwa madai ya kuwa atarejesha!

Mambo yakamgeukia mama huyo lakini ilimladhimu kuwa msiri kwani aliogopa kumshirikisha mmewe.

Muda umeenda Sana, one daya mara ghafla bini vuu , mapolisi, na wanavikoba wamekuja pale wako mobu Sana, wanaulizwa kulikon, mzee anaambiwa hii nyumba sio yako, mke wako aliweka rehani kama dhamana ya mko wa tsh mil5 ambazo zimemshinda kurejesha, muda aliopewa na mahakama umefika na hivyo mahakama imetoa amri ya kutaifishwa kwa nyumba na kiwanja!

Kwa hiyo, wakaamuliwa kutoa kila kitu , wakatoa wakafukuzwa kutafuta hifadhi kwa wasamalia.

Siku kadhaa mbele wamekuja ndg wa mwanaume na ugomvi ukazuka kati yao na mwanamke kiasi ambacho mmoja wao ( shemeji yake) akaanyanyua panga kumkata yule mama , lakini kabla hajafikisha upanga, kumbe mme mtu kaingia kumkinga mke wake na hivyo upanga ukatua kwenye mkono wa kulia!

Jamani tuishi na wanawake kwa akili
Mume bora
 
Unakuta umri umeenda nguvu ya kutafuta hamna penshen imeshagaisha,unaweza ukanywa sumu.
 
Nimeona nguvu ya upendo wa mume...

Pamoja na yote bado anamlinda mkewe...

Upendo huvumilia, upendo husamehe...
Huyu jamaa is a living hero.. mwanamke awe na mapungufu yote sio ku cheat tuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1431][emoji1431][emoji1431]
 
Kwani Mke kupeleka Hati yenye Jina la Mume inaruhusiwa.....????na mahakama inaamua vipi kesi ambayo mmiliki halali hajahusika popote..??

Mimi nnavojua kama Hati ina jina langu huwezi fanya nayo jambo lolote kwa siku hizi,,,,ni sawa na uchukue Kadi OG ya gari yangu halafu ukachukulie mkopo bila mimi kufahamu....sidhani hata kama huo mkopo watakupatia....hivyohivyo na kwenye hati ya Nyumba,,, unampaje Mkopo ilihali unaona jina la hati sio la kwake???

Wataalamu hebu elezeni kisheria hii imekaaje....?????
 
Kwani Mke kupeleka Hati yenye Jina la Mume inaruhusiwa.....????na mahakama inaamua vipi kesi ambayo mmiliki halali hajahusika popote..??

Mimi nnavojua kama Hati ina jina langu huwezi fanya nayo jambo lolote kwa siku hizi,,,,ni sawa na uchukue Kadi OG ya gari yangu halafu ukachukulie mkopo bila mimi kufahamu....sidhani hata kama huo mkopo watakupatia....hivyohivyo na kwenye hati ya Nyumba,,, unampaje Mkopo ilihali unaona jina la hati sio la kwake???

Wataalamu hebu elezeni kisheria hii imekaaje....?????
kuna jamaa mmoja mwanasheria nilimwuliza hilo swali akaniambia mtu hawezi kuuza nyumba kwa hati halali ambayo si yake
 
Back
Top Bottom