Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mchangiaji bora. Hii ni chai bila shaka. Kutoa hati ya nyumba bila huko vikoba kuhakiki kama wote wanakubali?Kwani Mke kupeleka Hati yenye Jina la Mume inaruhusiwa.....????na mahakama inaamua vipi kesi ambayo mmiliki halali hajahusika popote..??
Mimi nnavojua kama Hati ina jina langu huwezi fanya nayo jambo lolote kwa siku hizi,,,,ni sawa na uchukue Kadi OG ya gari yangu halafu ukachukulie mkopo bila mimi kufahamu....sidhani hata kama huo mkopo watakupatia....hivyohivyo na kwenye hati ya Nyumba,,, unampaje Mkopo ilihali unaona jina la hati sio la kwake???
Wataalamu hebu elezeni kisheria hii imekaaje....?????
Kwahyo mkuu nafikiri hii Stori ni CHAI(UONGO),,,,sidhani kama Askari na Mahakama hawajui hio Sheria....kuna jamaa mmoja mwanasheria nilimwuliza hilo swali akaniambia mtu hawezi kuuza nyumba kwa hati halali ambayo si yake
Wamebakia wachache. SanaMume bora
Hili jibu linaonyesha ni jinsi gani mlivyo na dharau au hamjaliTuwe wanaume?
Angepata mtaalam hiyo nyumba ingebaki. Mtu hawezi kuweka rehani matrimonial home kiholela hivi hivi tuWakuu habarini!
Hawa wanawake wasiojitambua Ni changamoto Sana!
Hapa kitaa Kuna kisa kimetokea na ugomvi kuzuka wa hali ya juu!
Ni hivi, Kuna mzee mmoja hapa mwenye mke na watoto, ambaye kwa hali ngumu za kimaisha lakini kakomaa na kununua kiwanja kisha akajenga nyumba yake ya kuishi na family yake na ziada ya wapangaji vyumba vitatu!
Sasa, mke wake kaingia kwenye vikoba, kakopa kisirisiri kisha kaweka lehani hati ya nyumba ( ambayo aliiba bila mmewe kujua) kwa madai ya kuwa atarejesha!
Mambo yakamgeukia mama huyo lakini ilimladhimu kuwa msiri kwani aliogopa kumshirikisha mmewe.
Muda umeenda Sana, one daya mara ghafla bini vuu , mapolisi, na wanavikoba wamekuja pale wako mobu Sana, wanaulizwa kulikon, mzee anaambiwa hii nyumba sio yako, mke wako aliweka rehani kama dhamana ya mko wa tsh mil5 ambazo zimemshinda kurejesha, muda aliopewa na mahakama umefika na hivyo mahakama imetoa amri ya kutaifishwa kwa nyumba na kiwanja!
Kwa hiyo, wakaamuliwa kutoa kila kitu , wakatoa wakafukuzwa kutafuta hifadhi kwa wasamalia.
Siku kadhaa mbele wamekuja ndg wa mwanaume na ugomvi ukazuka kati yao na mwanamke kiasi ambacho mmoja wao ( shemeji yake) akaanyanyua panga kumkata yule mama , lakini kabla hajafikisha upanga, kumbe mme mtu kaingia kumkinga mke wake na hivyo upanga ukatua kwenye mkono wa kulia!
Jamani tuishi na wanawake kwa akili
Kesi rahisi hiyo, mwenye mali hakuhusishwa
story yangu nzuriWakuu habarini!
Hawa wanawake wasiojitambua Ni changamoto Sana!
Hapa kitaa Kuna kisa kimetokea na ugomvi kuzuka wa hali ya juu!
Ni hivi, Kuna mzee mmoja hapa mwenye mke na watoto, ambaye kwa hali ngumu za kimaisha lakini kakomaa na kununua kiwanja kisha akajenga nyumba yake ya kuishi na family yake na ziada ya wapangaji vyumba vitatu!
Sasa, mke wake kaingia kwenye vikoba, kakopa kisirisiri kisha kaweka lehani hati ya nyumba ( ambayo aliiba bila mmewe kujua) kwa madai ya kuwa atarejesha!
Mambo yakamgeukia mama huyo lakini ilimladhimu kuwa msiri kwani aliogopa kumshirikisha mmewe.
Muda umeenda Sana, one daya mara ghafla bini vuu , mapolisi, na wanavikoba wamekuja pale wako mobu Sana, wanaulizwa kulikon, mzee anaambiwa hii nyumba sio yako, mke wako aliweka rehani kama dhamana ya mko wa tsh mil5 ambazo zimemshinda kurejesha, muda aliopewa na mahakama umefika na hivyo mahakama imetoa amri ya kutaifishwa kwa nyumba na kiwanja!
Kwa hiyo, wakaamuliwa kutoa kila kitu , wakatoa wakafukuzwa kutafuta hifadhi kwa wasamalia.
Siku kadhaa mbele wamekuja ndg wa mwanaume na ugomvi ukazuka kati yao na mwanamke kiasi ambacho mmoja wao ( shemeji yake) akaanyanyua panga kumkata yule mama , lakini kabla hajafikisha upanga, kumbe mme mtu kaingia kumkinga mke wake na hivyo upanga ukatua kwenye mkono wa kulia!
Jamani tuishi na wanawake kwa akili
huwezi kukopa mkopo kwa hati ya nyumba yenye jina tofauti na mkopaji abadani hii ni story tu boss asante kwa kuchangamsha genge.Wakuu habarini!
Hawa wanawake wasiojitambua Ni changamoto Sana!
Hapa kitaa Kuna kisa kimetokea na ugomvi kuzuka wa hali ya juu!
Ni hivi, Kuna mzee mmoja hapa mwenye mke na watoto, ambaye kwa hali ngumu za kimaisha lakini kakomaa na kununua kiwanja kisha akajenga nyumba yake ya kuishi na family yake na ziada ya wapangaji vyumba vitatu!
Sasa, mke wake kaingia kwenye vikoba, kakopa kisirisiri kisha kaweka lehani hati ya nyumba ( ambayo aliiba bila mmewe kujua) kwa madai ya kuwa atarejesha!
Mambo yakamgeukia mama huyo lakini ilimladhimu kuwa msiri kwani aliogopa kumshirikisha mmewe.
Muda umeenda Sana, one daya mara ghafla bini vuu , mapolisi, na wanavikoba wamekuja pale wako mobu Sana, wanaulizwa kulikon, mzee anaambiwa hii nyumba sio yako, mke wako aliweka rehani kama dhamana ya mko wa tsh mil5 ambazo zimemshinda kurejesha, muda aliopewa na mahakama umefika na hivyo mahakama imetoa amri ya kutaifishwa kwa nyumba na kiwanja!
Kwa hiyo, wakaamuliwa kutoa kila kitu , wakatoa wakafukuzwa kutafuta hifadhi kwa wasamalia.
Siku kadhaa mbele wamekuja ndg wa mwanaume na ugomvi ukazuka kati yao na mwanamke kiasi ambacho mmoja wao ( shemeji yake) akaanyanyua panga kumkata yule mama , lakini kabla hajafikisha upanga, kumbe mme mtu kaingia kumkinga mke wake na hivyo upanga ukatua kwenye mkono wa kulia!
Jamani tuishi na wanawake kwa akili
Jibu swali acha kuhemkwa.Hili jibu linaonyesha ni jinsi gani mlivyo na dharau au hamjali
Hao ndio wanaume waelewa wenye akili mnaowataka mnataka waendelee kuwaua ?
Kwamba unatamani uwe wewe ili utoe funzo?[emoji23]Kuna mada nyingine sio za kushiriki hata kusoma maana hapa nilipo shingo inaumaa kwa gubu lililo nijaa
Hii ni chai, na kama kuna yoyote aliyeiamini hii story basi ni mjinga.Wewe ni mchangiaji bora. Hii ni chai bila shaka. Kutoa hati ya nyumba bila huko vikoba kuhakiki kama wote wanakubali?
Bora anicheat ila asinirudishe kwenye umasikini.Huyu jamaa is a living hero.. mwanamke awe na mapungufu yote sio ku cheat tuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Hapo kwenye kutoishi nao kabisa andika kwa herufi kubwa kabisa na uzi-bold.Siku hizi tunapaswa kuishi nao kininja au kutoishi nao kabisa
Hii stori sizanj kama imekamilika ,huwezi kopea nyumba mkopo bila kuwa na ruhusa kutoka kwa mke au mume narudia tena "HUWEZI" na kama walikubali kumkopesha bila ruhusa ya mume.Kwani Mke kupeleka Hati yenye Jina la Mume inaruhusiwa.....????na mahakama inaamua vipi kesi ambayo mmiliki halali hajahusika popote..??
Mimi nnavojua kama Hati ina jina langu huwezi fanya nayo jambo lolote kwa siku hizi,,,,ni sawa na uchukue Kadi OG ya gari yangu halafu ukachukulie mkopo bila mimi kufahamu....sidhani hata kama huo mkopo watakupatia....hivyohivyo na kwenye hati ya Nyumba,,, unampaje Mkopo ilihali unaona jina la hati sio la kwake???
Wataalamu hebu elezeni kisheria hii imekaaje....?????
Upo sahihi kabisa, pia vitu vya mikopo vya kuweka rehani asset lazima kuwe na consent i mean consent ya wanandoa kwa chochote kitakacho weka rehani wawe wamekubaliana na kuwe na saini ya pande mbili na mwanasheria kuidhinisha hilo, sasa mambo yameenda kiholela na mahakama gani imetoa hukumu na utekelezaji ya kuwatoa bila taarifa maana barua ingeshamfikia huyo mzee na angeenda kuweka pingamizi mahakamani kuna kaulakini kwenye hiliKwani Mke kupeleka Hati yenye Jina la Mume inaruhusiwa.....????na mahakama inaamua vipi kesi ambayo mmiliki halali hajahusika popote..??
Mimi nnavojua kama Hati ina jina langu huwezi fanya nayo jambo lolote kwa siku hizi,,,,ni sawa na uchukue Kadi OG ya gari yangu halafu ukachukulie mkopo bila mimi kufahamu....sidhani hata kama huo mkopo watakupatia....hivyohivyo na kwenye hati ya Nyumba,,, unampaje Mkopo ilihali unaona jina la hati sio la kwake???
Wataalamu hebu elezeni kisheria hii imekaaje....?????