Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna binadamu anayeweza kubadilika, jinsi tulivyo ndivyo tulivyoumbwa.Wanawake mmbadilike aisee.
Huyo mwanaume fa.la sana...Nimeona nguvu ya upendo wa mume...
Pamoja na yote bado anamlinda mkewe...
Upendo huvumilia, upendo husamehe...
Tumesikia kaka tutajitahidi kubadilikaKweli jamaa anampenda sana mke wake,pamoja na yote.
Wanawake mmbadilike aisee.
Hata bank hawakubali hati ya namna hiyo unless kuwe na free consent kwa pande zote mbili yani mke na mume, napicha zao ziambatanishweWewe ni mchangiaji bora. Hii ni chai bila shaka. Kutoa hati ya nyumba bila huko vikoba kuhakiki kama wote wanakubali?
Hahaha, law of contract act.. LCAKwahyo mkuu nafikiri hii Stori ni CHAI(UONGO),,,,sidhani kama Askari na Mahakama hawajui hio Sheria....
Mke hawezi pewa Mkopo kwa kuweka dhamana Mali isiyo yake,,,na bila ruhusa ya mwenye Mali (Ki-maandishi).....
Ndugu WASOMAJI,,, kuendelea kutoa maoni ya kweli kwenye Stori ya Uongo ni kupoteza Muda,,,,Yajueni ya Kuzingatia na mtunze Muda ili nao uwatunze....
Mleta uzi mshale21 kama una lakuongeza eleza,,,,kufanya Stori yako iwe na uhalisia....ili uokoe Muda wako na Muda wetu pia...
Mambo ya kuishi kwa akili hakuna tena [emoji23][emoji23]Hapo kwenye kutoishi nao kabisa andika kwa herufi kubwa kabisa na uzi-bold.
Huyo mwanamke yeye anaweza kuvumilia kiasi hicho?Nimeona nguvu ya upendo wa mume...
Pamoja na yote bado anamlinda mkewe...
Upendo huvumilia, upendo husamehe...
Nimeona nguvu ya upendo wa mume...
Pamoja na yote bado anamlinda mkewe...
Upendo huvumilia, upendo husamehe...
Sometime wanaume hua tunawatuma wakezetu mwisho wa shoo anageuziwa kibao mke haiwezekani hati yanyumba iwekwe na kikundi kikijua nimke wamtu na mumewe asijueNimeona nguvu ya upendo wa mume...
Pamoja na yote bado anamlinda mkewe...
Upendo huvumilia, upendo husamehe...
Huu uzi umenikumbusha chuo business law na hiyo law Contract Act nilikua nimevishika vifungu balaa...Hahaha, law of contract act.. LCA