Afisa Elimu Mkoa wa Songwe na Afisa Elimu Wilaya waache kujifanya Miungu watu

Afisa Elimu Mkoa wa Songwe na Afisa Elimu Wilaya waache kujifanya Miungu watu

Njaa kali30

Member
Joined
Jul 18, 2021
Posts
47
Reaction score
28
Habari wakuu za usiku,

Kama kawaida naomba nielezee kwa masikitiko makubwa jinsi huyu Afisa Elimu Mkoa wa Songwe anavyojifanya Mungu mtu akishirikiana na Afisa Elimu Wilaya ndugu Bhange.

Kwa bahati nzuri nilikuwa kwenye semina ya usimamizi wa mitihani, nikamsikia akimzungumzia mwalimu mmoja wa Maweni ambae alipigana na mkuu wake wa shule kwamba atafukuzwa kazi.

Naomba nielezee scenario ya mwalimu mwenywe ambavyo ilivyokuwa.

Huyu mwalimu aliempiga mkuu wake shule kwanza kabisa alipata promotion kuwa Mratibu Elimu kata, mkuu wake wa shule akaificha barua yake. Jamaa hakusema kitu akanyamanza.

Pili alipata uhamisho halali jina lijatoka TAMISEMI na akapata kibali kutoka TAMISEMI cha kuhamia Mbeya Mjini kutoka wilaya ya Songwe. Mkurugenzi aliekuwepo akamfungashia data sheet, akahama mwalimu na akaanza kufanya kazi baada ya mwezi mwalimu akaaambiwa arudi kituoni kwake kwani uhamisho sio halali , mwalimu akarudi na akaendelea na kazi hapo.

Tatu mwalimu tena ka-struggle kapata nafasi ya kufundisha chuo kutoka sekondari kupitia transfer vacancy zinazotangazwa na Serikali. Mwalimu amepata nafasi hiyo na barua ameshakabidhiwa ila mkuu wake amemkatali hakuna kwenda .

Mkuu wa Shule Maweni secondary amekuwa akishirikiana na afisa elimu wilaya (Bhange) na REO Kaponda katika kumkandamiza mwalimu,na yamekuwa malalamiko kwa walimu wengi wanaofanya kazi katika mkoa huu kwamba hata TAMISEMI ikikuhamisha Bhange na Kaponda huingilia kati kuwasiliana na ma DEO na REO kuwafanyia mtima nyongo walimu wanaotaka kuhamia katika mikoa mingine hata kama uhamisho umefuata process zote.

TAMISEMI na Wizara ya Elimu tunaomba muingilie huu ukiritimba wanaofanyiwa watumishi wenu wa Songwe.

Kwanza kwenye semina yenyewe kadhalilisha watumishi wengine mpaka kuwaitia Polisi.

Kaponda yeye kaanzisha Wizara yake ya TAMISEMI katika mkoa wake ambapo ana uwezo wa kuya-judge hata maamuzi yanayotoka Wizara ya TAMISEMI na Elimu.

Ummy Mwalimu na Ndalichako mko wapi mtu anawadhalilisha watumishi kama watoto wake mchukulieni hatua huyu.

MATUMIZI MABAYA YA OFISI
REO Kaponda amekuwa akiitumia ofisi yake kuwakandamiza wengine. Wapo walimu wengi waliokutana mkono wa chuma wa Kaponda. Ukitofautiana nae kimtazamo kifikra utajuta kwanini uko Songwe. Na alituambia ana uwezo wa kumrudisha mfanyakazi akiwa mahala popote hata akihama yeye ameanzisha wizara ndani ya wizara

Ofisi yake ilikithiri sana rushwa ya ngono wote aliowapitia either ni maaafisa elimu wilaya, Taaluma au wakuu wa shule.

Pia bhange anasumbuliwa na tatizo la ukabila watumishi wanaotokea Njombe na Iringa ndio anaowajali. Pia ni mlaji Rushwa mzuri. Kuna skendo inayomuhusu bange kupoke bahasha za waalimu kwa kuwahamisha na baadhi yao kusema kwamba bhange hawezi kutuhamisha kwa sababu akitaka kufanya hivyo tunamchangia kitu kidogo halafu anawachukua wengine na kuwahamisha ndio wanavyofanya yupo jammaaaa mmoja anasema mimi bhange hawezi nihamisha na hilo jamaaa ni lilevi sana. Haliendi hata kazini

Tunaomba uchunguzi ufanyike na ikiwezekana watu hawa wapumzishwe kuwaondolea watumishi adha wanayoipata.
 
Kwenye hii kada ya elimu kuna vituko sana!!Huko uyui kuna zuberi karugutu huyu jamaa ni muha na kahakikisha waha wenzake kama kina fabian dunda wawe walim wakuu hata kama hawana sifa. Ni hatari tupu!
 
Kwenye hii kada ya elimu kuna vituko sana!!Huko uyui kuna zuberi karugutu huyu jamaa ni muha na kahakikisha waha wenzake kama kina fabian dunda wawe walim wakuu hata kama hawana sifa. Ni hatari tupu!
Sifa ya kuwa mwalimu mkuu ni ipi? Si ni kuwa mwalimu tu ama? Punguzeni ujuaji mkuu
 
Sifa ya kuwa mwalimu mkuu ni ipi? Si ni kuwa mwalimu tu ama? Punguzeni ujuaji mkuu
Jamaa alikua mratibu akatumbuliwa kwa kutafuna hela za ujenzi wa darasa! Baada ya muda akarudishwa kua mwalim mkuu. Lini amepata usafi wa kuwa tena na cheo ndani ya mwaka?
 
Jamaa alikua mratibu akatumbuliwa kwa kutafuna hela za ujenzi wa darasa!!!Baada ya muda akarudishwa kua mwalim mkuu!!!Lini amepata usafi wa kuwa tena na cheo ndani ya mwaka???
Ka
Jamaa alikua mratibu akatumbuliwa kwa kutafuna hela za ujenzi wa darasa!!!Baada ya muda akarudishwa kua mwalim mkuu!!!Lini amepata usafi wa kuwa tena na cheo ndani ya mwaka???
Kama alitafuna pesa na kisha amerudishwa tuma details tamisemi through ortamisemi wamshughulikie fasta nadhani wote wawili hao watakwenda na maji.
 
Songwe ina mambo magumu nayakufikilisha sana we angali kama ni kweli kiongozi anaaanzisha himaya ya mademu zake ni hatari
 
Walimu walio wengi ndo watumishi wasiojitambua, naongea nikiwa kama mwalimu pia,hawajitambui kivipi?

Walimu walio wengi maofisini ni majungu yasiyokuwa na tija topic zao ni namna gani watajipendeza na hatimae wateuliwe kuwa wasimizi wa mitihani, self actualization as a highest stage of development should be taught among teachers.
 
Kuna matatizo mengi kaponda bhange hawafai kuwa viongozi hata kidogo
 
Habari wakuu za usiku,

Kama kawaida naomba nielezee kwa masikitiko makubwa jinsi huyu Afisa Elimu Mkoa wa Songwe anavyojifanya Mungu mtu akishirikiana na Afisa Elimu Wilaya ndugu Bhange.

Kwa bahati nzuri nilikuwa kwenye semina ya usimamizi wa mitihani, nikamsikia akimzungumzia mwalimu mmoja wa Maweni ambae alipigana na mkuu wake wa shule kwamba atafukuzwa kazi.

Naomba nielezee scenario ya mwalimu mwenywe ambavyo ilivyokuwa.

Huyu mwalimu aliempiga mkuu wake shule kwanza kabisa alipata promotion kuwa Mratibu Elimu kata, mkuu wake wa shule akaificha barua yake. Jamaa hakusema kitu akanyamanza.

Pili alipata uhamisho halali jina lijatoka TAMISEMI na akapata kibali kutoka TAMISEMI cha kuhamia Mbeya Mjini kutoka wilaya ya Songwe. Mkurugenzi aliekuwepo akamfungashia data sheet, akahama mwalimu na akaanza kufanya kazi baada ya mwezi mwalimu akaaambiwa arudi kituoni kwake kwani uhamisho sio halali , mwalimu akarudi na akaendelea na kazi hapo.

Tatu mwalimu tena ka-struggle kapata nafasi ya kufundisha chuo kutoka sekondari kupitia transfer vacancy zinazotangazwa na Serikali. Mwalimu amepata nafasi hiyo na barua ameshakabidhiwa ila mkuu wake amemkatali hakuna kwenda .

Mkuu wa Shule Maweni secondary amekuwa akishirikiana na afisa elimu wilaya (Bhange) na REO Kaponda katika kumkandamiza mwalimu,na yamekuwa malalamiko kwa walimu wengi wanaofanya kazi katika mkoa huu kwamba hata TAMISEMI ikikuhamisha Bhange na Kaponda huingilia kati kuwasiliana na ma DEO na REO kuwafanyia mtima nyongo walimu wanaotaka kuhamia katika mikoa mingine hata kama uhamisho umefuata process zote.

TAMISEMI na Wizara ya Elimu tunaomba muingilie huu ukiritimba wanaofanyiwa watumishi wenu wa Songwe.

Kwanza kwenye semina yenyewe kadhalilisha watumishi wengine mpaka kuwaitia Polisi.

Kaponda yeye kaanzisha Wizara yake ya TAMISEMI katika mkoa wake ambapo ana uwezo wa kuya-judge hata maamuzi yanayotoka Wizara ya TAMISEMI na Elimu.

Ummy Mwalimu na Ndalichako mko wapi mtu anawadhalilisha watumishi kama watoto wake mchukulieni hatua huyu.

MATUMIZI MABAYA YA OFISI
REO Kaponda amekuwa akiitumia ofisi yake kuwakandamiza wengine. Wapo walimu wengi waliokutana mkono wa chuma wa Kaponda. Ukitofautiana nae kimtazamo kifikra utajuta kwanini uko Songwe. Na alituambia ana uwezo wa kumrudisha mfanyakazi akiwa mahala popote hata akihama yeye ameanzisha wizara ndani ya wizara

Ofisi yake ilikithiri sana rushwa ya ngono wote aliowapitia either ni maaafisa elimu wilaya, Taaluma au wakuu wa shule.

Pia bhange anasumbuliwa na tatizo la ukabila watumishi wanaotokea Njombe na Iringa ndio anaowajali. Pia ni mlaji Rushwa mzuri. Kuna skendo inayomuhusu bange kupoke bahasha za waalimu kwa kuwahamisha na baadhi yao kusema kwamba bhange hawezi kutuhamisha kwa sababu akitaka kufanya hivyo tunamchangia kitu kidogo halafu anawachukua wengine na kuwahamisha ndio wanavyofanya yupo jammaaaa mmoja anasema mimi bhange hawezi nihamisha na hilo jamaaa ni lilevi sana. Haliendi hata kazini

Tunaomba uchunguzi ufanyike na ikiwezekana watu hawa wapumzishwe kuwaondolea watumishi adha wanayoipata.
Hao wote cha mtoto nilisoma humu humu kuna afisa elimu msingi wilaya ya chamwino huko ilipo ikulu,huyo anatumia mpaka ndumba ummy mwenyewe hamuwezi.
 
Sasa huyo Bhange naona wanakula pamoja na huyo mwalimu Mlevi na haendi kazini.
 
Kaponda kumbe yupo Songwe. Kati ya maofisa bogus TAMISEMI huyu ni miongoni mwao. Nadhani amezaliwa akiwa na roho mbaya tu

Alikua Mkurugenzi pale TAMISEMI Hq na aliboronga akatupwa Kigoma akajifunze kufanya kazi na watu. Kumbe hajabadilika
 
Back
Top Bottom