Afisa Elimu Wilaya ya Chamwino ampiga makofi mwalimu hadharani kwa kuchelewa semina

Afisa Elimu Wilaya ya Chamwino ampiga makofi mwalimu hadharani kwa kuchelewa semina

Unataka ukapigwe makofi?
Walimu watu wa hovyo sana mwanaume mwenzako anaanzaje kukupiga makofi unamuacha?
Hapana mkuu maana nashindwa kuelewa walimu wanang'ang'ania nini huko jaman plz kwa anaejua mshahara anijuze au Kama Kuna mwl humu
 
Hapana mkuu maana nashindwa kuelewa walimu wanang'ang'ania nini huko jaman plz kwa anaejua mshahara anijuze au Kama Kuna mwl humu
Mshahara wa mwalimu wa degree ni laki 7 ambayo ni salary scale TGS D hyo ni basic salary.
Diploma TGS C pungufu ya laki 7
Certificate TGS B
 
Mshahara wa mwalimu wa degree ni laki 7 ambayo ni salary scale TGS D hyo ni basic salary.
Diploma TGS C pungufu ya laki 7
Certificate TGS B
Kwahyo hapo laki 7 alafu bado Makati yote plus mikopo Ile??
 
Hii habari ya zamani sana kabla hata ya UTV kuanzishwa, enzi hizo Azam News inaonyeshwa Azam TWO.......

Kipindi hicho DSTV, AZAM na ZUKU bado hawajafungiwa kuonyesha chanel za bongo
 
Huyo tungemalizana apoapo.Mm cjui watu wanawaogopa nn hawa wapuuz.
 
Hapo take home laki 4 na makofi juu[emoji23][emoji23]
Bora nikakusanye lundo la udongo wa dhahabu kwa miezi sita ppm ikosoma point 6 tu napga zangu 80 million duh walimu poleni nataman kulia[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Bora nikakusanye lundo la udongo wa dhahabu kwa miezi sita ppm ikosoma point 6 tu napga zangu 80 million duh walimu poleni nataman kulia[emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu hz ni Sawa na tripu (gari)ngapi hz za lundo?
 
Mkuu hz ni Sawa na tripu (gari)ngapi hz za lundo?
Hili lundo ni watu wanakuja kusaga kwako mawe wew chamsing uwe na karasha tu mawe wataleta wanasaga na kuoshea kwako wanaacha mabaki (makinikia) mwsho wa siku lundo linakuwa kubwa unaweza peleka maabara kuozesha au ukauza hvo hvo.
 
Hili lundo ni watu wanakuja kusaga kwako mawe wew chamsing uwe na karasha tu mawe wataleta wanasaga na kuoshea kwako wanaacha mabaki (makinikia) mwsho wa siku lundo linakuwa kubwa unaweza peleka maabara kuozesha au ukauza hvo hvo.
Yeah Mkuu,naelewa ila niliomba kujua lundo la kutoa pesa hiyo unakua umesomba tripu ngapi za lori kupeleka plant
 
Yeah Mkuu,naelewa ila niliomba kujua lundo la kutoa pesa hiyo unakua umesomba tripu ngapi za lori kupeleka plant
Tripu sio makadirio kinachoangaliwa ni ppm tu unaweza ukawa na tripu 7 tu lakin ppm inasoma 8 tu ukapga pay ndefu
 
Tripu sio makadirio kinachoangaliwa ni ppm tu unaweza ukawa na tripu 7 tu lakin ppm inasoma 8 tu ukapga pay ndefu
Sawa ila swali lilikua kwa ppm 6 ukapata pay ile ni sawa na tripu ngapi,,anyway ahsante
 
Back
Top Bottom