Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hiyo bahati huwa siipati. Tungegawana majengo ya serikali yeye muchwari Mimi magereza. Siiombi itokeeHivi walimu mbona serikali ya CCM inawachezea Sana? Kila baada ya miaka kumi mnadhalipishwa kwa kunaswa makofi.
Mishahara hakuongezwi, mikutano ya CCM mnalazimishwa kuhudhuria, makofi mnapigwa kwa kisingizio cha 'hapa kazi tu.'
Kwa kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi nyote kwa pamoja semeni NO to CCM
duhHivi walimu mbona serikali ya CCM inawachezea Sana? Kila baada ya miaka kumi mnadhalipishwa kwa kunaswa makofi.
Mishahara hakuongezwi, mikutano ya CCM mnalazimishwa kuhudhuria, makofi mnapigwa kwa kisingizio cha 'hapa kazi tu.'
Kwa kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi nyote kwa pamoja semeni NO to CCM
Hawa jamaa (walimu) huwa wasahaulifu Sana.Walimu wakipewa 80k ya seminar plus ubwabwa na nyama choma watamsaidia Jiwe kuiba kura huku wakisahau mateso ya miaka 5 .
Hakuna mtumishi wa umma mwenye mabosi wengi Tanzania hii kama mwalimu.
Wewe akili yako ina matege,pumbav kabisa!Walimu sisi tunapigia kura Magufuli na Ccm
Yule msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Lkn ndo wezi wa kura wa kutupwa kusaidia watesaji waleWalimu nchi hii wanateseka sana
Beberu atakupanda tu sku mojaWalimu sisi tunapigia kura Magufuli na Ccm
Yule msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
DaaaHivi walimu mbona serikali ya CCM inawachezea Sana? Kila baada ya miaka kumi mnadhalipishwa kwa kunaswa makofi.
Mishahara hamuongezewi, mikutano ya CCM mnalazimishwa kuhudhuria, makofi mnapigwa kwa kisingizio cha 'hapa kazi tu.'
Kwa kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi nyote kwa pamoja semeni NO to CCM
Hili lundo ni watu wanakuja kusaga kwako mawe wew chamsing uwe na karasha tu mawe wataleta wanasaga na kuoshea kwako wanaacha mabaki (makinikia) mwsho wa siku lundo linakuwa kubwa unaweza peleka maabara kuozesha au ukauza hvo hvo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo take home laki 4 na makofi juu[emoji23][emoji23]