GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Same to You.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same to You.
Mfalme wa jamii sport heshima kwakoIla ninachofurahi Wewe Mpumbavu Mkuu na wanaokupa Likes ( Wapumbavu Wenzako ) mmesoma Maelezo yangu yote marefu na mpaka ukapoteza na muda wako Kunijibu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Cc: Superb2014
sasa hapa gentamycin anaingiaje?Ni graduate wa MUM na ndio hazina na kichwa ya MUM uyo na rafiki yake cocastic kama ambavyo Mburula GENTAMYCIME alivyo kichwa na hazina ya SAUTI.
Akhsante na nimeipokea hii Heshima yako Tukuka Kwangu GENTAMYCINE. Ubarikiwe.Mfalme wa jamii sport heshima kwako
Katajwa Parody GENTAMYCIME na siyo Mimi Mwamba na .Mngwena Mwenyewe GENTAMYCINE sawa?sasa hapa gentamycin anaingiaje?
Yanga SC anakufa / anafungwa niamini.Dakika 90 zitaamua
Baadhi ya Wanahabari na Wachambuzi wa Soka nchini wamemtaka Afisa Habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally kuomba radhi kufuatia kauli yake ya kusema "Yanga ni kama maiti hivyo wanakwenda kuwakamua" kauli hiyo imevuka mipaka ya utani wa jadi na ni kinyume na ueledi na ni tusi baya.View attachment 2588317
star tv ilikuwepi hata kabla ya azam, na clouds mnazoshadidia!Tatizo huyu msemaji ana ushamba msingi sana,toka ameokotwa Star TV