Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Umekwishapata majibu wewe maitiNi kauli Bora ya karne maana ukitukana mamba kabla hujavuka mto ukiingia tu kwenye maji umekwisha! Lazima akutafune!
Kauli hii itamrudia yeye mwenyewe Ahmed Kesho inshallah!
Tukutane kwa Mkapa Kesho inshallah tutajua nani maiti nani muoshaji!
My take
waandishi wa habari mkae na Ahmed beneti mechi ikiisha atuambie nani maiti kati ya Simba au Yanga!