Afisa habari wa Klabu ya Yanga, Dismas Ten ajiuzulu nafasi yake

Afisa habari wa Klabu ya Yanga, Dismas Ten ajiuzulu nafasi yake

Status
Not open for further replies.
Ndo tunaona faida ya chuki kwa Manji, wakati mwingine unaweza kudhani unamkomoa mtu mmoja kumbe unaiathiri jamii kubwa! Tuache figisu kwa wenye hela hata kama sisi tulizaliwa na kukulia kwenye umasikini
 
Ndo tunaona faida ya chuki kwa Manji, wakati mwingine unaweza kudhani unamkomoa mtu mmoja kumbe unaiathiri jamii kubwa! Tuache figisu kwa wenye hela hata kama sisi tulizaliwa na kukulia kwenye umasikini
CC :The Great Stone!
 
Nilikuwa na wazo. Hizi washabiki na wapenzi wa Dar Young Afrika hawawezi kufikia mil 5. Kama kila mmoja akichangia sh 10,000 makusanyo yatakuwa 50 Bilioni. Hizo pesa zikiwekwa kwenye fixed deposit ya 8% kwa mwaka, ina maana timu itakuwa inapata mgao wa milliob 330 kwa mwezi.

Kwa pesa hizo sifikirii kama timu itashindwa kujiendesha.

Yanga Daima.

Mkuu kwa uongozi upi..? Tatizo viongozi wote unaowaona kwenye hivi vilabu viwili, wako kimaslahi zaidi kuliko maslahi ya vilabu.. Ukitaka kukosa uongozi kwenye vilabu hivyo, onyesha msimamo wako toka mwanzo, kwamba uko kimaendeleo ya klabu zaid, kuliko maslahi binafsi, uone kama utavuka hata viunzi vya mwanzo..
 
Hawa jamaa ndo wameipoteza kabisa timu yetu, nawalaani kabisa
 
Ndo tunaona faida ya chuki kwa Manji, wakati mwingine unaweza kudhani unamkomoa mtu mmoja kumbe unaiathiri jamii kubwa! Tuache figisu kwa wenye hela hata kama sisi tulizaliwa na kukulia kwenye umasikini
ukisikia fikra mfu ndiyo hizi, manji ndiyo aliyoleta matatizo yote haya, hakujenga misingi ya timu kujitegemea, angekuwa na lengo zuri kwa yanga angeiwekea account ambayo ingeisaidia club pindi asipokuwepo. alikuwa akiitumia yabga kujipa kick na kupromote makampuni yake. [HASHTAG]#huo[/HASHTAG] ndiyo ukweli.
 
Mbona Mkinga yule Afya yake ni imara sana? Tatizo viongozi wanamwogopa sana Sanga.
 
ukisikia fikra mfu ndiyo hizi, manji ndiyo aliyoleta matatizo yote haya, hakujenga misingi ya timu kujitegemea, angekuwa na lengo zuri kwa yanga angeiwekea account ambayo ingeisaidia club pindi asipokuwepo. alikuwa akiitumia yabga kujipa kick na kupromote makampuni yake. [HASHTAG]#huo[/HASHTAG] ndiyo ukweli.
Club ipo tangu 1930's unakuja kumlaumu mtu ambaye kaanza kujihusisha nayo kwenye 2000's, alifanya kulingana na alichoweza na maisha yalikuwa matam klabuni, wanachama mnachojua ni kulalamika bila hata shilingi yoyote kuisaidia klabu, aya Manji kajitoa isaidieni timu yenu sio kuandamana nyumbani kwake kumlilia
 
Club ipo tangu 1930's unakuja kumlaumu mtu ambaye kaanza kujihusisha nayo kwenye 2000's, alifanya kulingana na alichoweza na maisha yalikuwa matam klabuni, wanachama mnachojua ni kulalamika bila hata shilingi yoyote kuisaidia klabu, aya Manji kajitoa isaidieni timu yenu sio kuandamana nyumbani kwake kumlilia
ACH kupost kwa mihemko...responsibility ya kiongoz ni kutoa hela yake ya mfukon au kutengeneza sustainable infrastructures ambazo zitasaidia club in short term and long term!?....ok powa..kaisaidia yanga sawa...kaicha wapi yanga sasa! this is worst leadership ever yanga kupitia.
 
ACH kupost kwa mihemko...responsibility ya kiongoz ni kutoa hela yake ya mfukon au kutengeneza sustainable infrastructures ambazo zitasaidia club in short term and long term!?....ok powa..kaisaidia yanga sawa...kaicha wapi yanga sasa! this is worst leadership ever yanga kupitia.
Tuwekee mtirirko wa uongozi/wafadhili wa Yanga na utwambie waliiachaje Yanga ambayo ina struggle kwa sasa, au Manji ndo mwenyekiti wa kwanza?? Unawafahamu kina Tarimba Abas, Gulamali, Mwakipesile, Castle Mpondela, Malinzi???? We ndo uache mihemko, jadili hoja
 
4D0E54B6-710E-4FD0-9821-772F0BA253CB.png
Afisa habari wa klabu ya Yanga, Dismas Ten naye ameamua kujiuzulu nafasi yake ndani ya Yanga, Ten ameandika barua kwenda kwa Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo akidai kwamba ameamua kujiuzulu kutokana na matatizo ya afya yake.

Dismas amejiuzulu nafasi yake siku mbili baada ya Katibu mkuu wa klabu hiyo Charles Mkwasa kujiuzulu.View attachment 813811
Dismas Ten bado ni Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Yanga...Hajajiuzulu...Bado yupo sana..
 
Tuwekee mtirirko wa uongozi/wafadhili wa Yanga na utwambie waliiachaje Yanga ambayo ina struggle kwa sasa, au Manji ndo mwenyekiti wa kwanza?? Unawafahamu kina Tarimba Abas, Gulamali, Mwakipesile, Castle Mpondela, Malinzi???? We ndo uache mihemko, jadili hoja
sasa point yako ya msingi ni ipi kama ushakubaliana na mimi kuwa yanga haijawah kuwa na kiongoz wa kupeleka team mbele rather than the same old sh**t! me siyo mwanachama wala mshabiki wa yanga ila napenda mpira wa bongo uendelee...na maendeleo hayaji kwa kujaribu kutatua tatizo kwa kutumia njia zilezile zilizosababisha tatizo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom