Afisa habari wa Klabu ya Yanga, Dismas Ten ajiuzulu nafasi yake

Status
Not open for further replies.
Rudia ulipoanza kunikuu ndo utaona point yangu, mi pia ni mwanasimba damu ila napenda soka letu liendelee kuwepo, kutukana kwako kunaonyesha kiwango chako cha uvumilivu na ustaarabu, katika kujadiliana, fikiria kama tungekuwa na kiongozi kama wewe anayechoka majadiliano akaanza kutukana!
 
[emoji10] [emoji3] [emoji4] wapi nmetukana mkuu
 
anakusanya nani? nichangie elfu 10 wakati toka nizaliwe sijasikia mapato na matumizi yanasomwa
 
huwezi kusaidia timu kiholela, watu wanafanya matumizi hovyohovyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…