Afisa Kazi ni nani hasa? Anajishughulisha na nini na ofisi zao ziko wapi?

Afisa Kazi ni nani hasa? Anajishughulisha na nini na ofisi zao ziko wapi?

Mzee wa old school

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
873
Reaction score
1,405
Natumai mu wazima,

kuna kipindi niliuliza watu mkakejeli, wengine mkafika mbali mkasema mimi kilaza, haya bana namshtakia Mungu (hapo natamka kwa sauti ya roma mkatoliki "Nipeni maua yangu").

Ni liuliza, naomba kujua AFISA KAZI ni nani, wanajishughulisha na nini hasa na ofisi zao zipo wapi?
 
Back
Top Bottom