Afisa Makao Makuu CHADEMA: Mbowe anaendekeza Ukabila. Kati ya wafanyakazi 19 wanaolipwa Mishahara na CHADEMA 9 wanatoka Killimanjaro

Kuna vitu maalumu wadada wote walikuwa wachaga adi anayetokea Lindi,karatu ,saivi akachaguliwa sijui nani minja tokea Dodoma.

Yaani jamaa ukabila wangeuweka pembeni wangekuwa watawala wa kwanza wa nchi hii.
 
Hakuna mtu mkabila Tanzania hii kama mbowe, unakumbuka kila siku alikuwa ana kosoa Magufuli kuongea na kusalimia watu kisukuma wakati huo kila mtu anakua 75% ya wafanyakazi chadema wametoka mkoa mmoja, na kwa siasa hizi za mbowe chadema itakuwa just hapo inaimba democracy democracy tume tume, maandamano no one will take it serious.

Na mikoa mingine imeamka, atazunguka Tanzania watu wana mtazama tu, siasa za Kenya haziwezi kufanya kazi Tz.

Ni lazima chama kiwa na sura ya kitaifa na kikubaliwe na watu wote. Hayo ndio makosa walifanya CUF.

Nyerere alijenga chama, chama cha kila mtu, kikashika hadi vijijini huko Tanzania kote, ndio maana tuna struggle kukiondoa, inafika kipindi hata kiazi kikisimama Urais kinashinda.
 
Kuna watu hawana akili kwa kweli, hata hili wanaona kawaida; eti maadam hao wanao shika hizo nafasi wana sifa. CHADEMA wamefanya makosa mengi sana ni muda sasa kulipa gharama za uhuni wote wamekuwa wakifanya. Mbowe akumbuke kuwa watu waliipenda CHADEMA baada ya NCCR Mageuzi na CUF kuanza kukosa sifa za kupendwa, kwa sasa CHADEMA ni chama ambacho hakina jambo lolote la maana , ni vile tu watu hawaipendi CCM, lakini kwa hali inavyo enda CHADEMA itachukiwa kuliko CCM.
 
Mwenye chama chake!!
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-21-10-58-21-719_com.twitter.android.jpg
    274 KB · Views: 3
Ila Mbowe anabalaa jamani,🤣🤣🤣
 
FAM siyo kiongozi wa kwanza kufanya hivyo - baada ya kufeli kwa mapinduzi 1980s idara kadhaa zilijaa watu wa Mara
  • Charity starts at home;
  • Asiyependa wa kwao ni mbaya kuliko asiyeamini;
 
FAM siyo kiongozi wa kwanza kufanya hivyo - baada ya kufeli kwa mapinduzi 1980s idara kadhaa zilijaa watu wa Mara
  • Charity starts at home;
  • Asiyependa wa kwao ni mbaya kuliko asiyeamini;
Acha uongo, Nyerere hakua mkabila otherwise angejenga majengo mengi sana Mara. Labda kidogo tu jeshini tena sababu alitaka kuwa secured ila sio sababu ya ukabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…