YAANI hao watarudi kweny line wenyewe ni kukata mizizi Tu.hahaha sasa sijui nani atawakojoza ja awape na hela
Muone huyu naona anatFuta nafasi tu apewe makaratasi nje hukoHii vita tutashinda tu kama jeshi la USA
USSR
Halafu unajua cocastic mi sikuchukii yaani nikionaga comment Yako huwa nafurahi sana vile unaweka vi emoj vyako vya kucheka[emoji1787]Shindwaaaa wee.
Lipotezee tu kwakua hupendi soma magazeti[emoji1]Gazeti refu mnooo, ila nimemaliza kusoma.
Kwani hilo ndo suluhishooo??
Ni nani huyu ?
Sijui nani huyu naona anatafutaaNi nani huyu ?
USSR
Km ni mauaji hasa huko kanda ya ziwa sio jambo la kushangazaaa, yule dada wa Bank kutoka kahama alikufa kwao Kibaha tena kinyamaa zaidi, naye ni msagajii??Aise inabidi uende geita huko ukawatole makavu au unasemaje
Ova
Sasa huyo ndie Mume gani huyo????Mme wa mtu kapigwa mimba akazaaπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani tufanye tuhame Bongo, tuwaachie wezi, wazinzi na majambazi nchi yao.Halafu unajua cocastic mi sikuchukii yaani nikionaga comment Yako huwa nafurahi sana vile unaweka vi emoj vyako vya kucheka[emoji1787]
Sema kuwa makini huko kitaa ishi maisha Yako kimya kimya.
Ukiwakera wananzengo shauri yako.
Hata humu member wakauvutia Kasi sana[emoji1][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikasoma nikamalizaa.Lipotezee tu kwakua hupendi soma magazeti[emoji1]
Tutaamini vipi?? Labda tukupime......tuhakiki kwa vidole viwili...[emoji28][emoji28]sijawahi kufirwa na sitarajii kabisa Sasa wewe si ndio unatetea hyo michezo mkienda kupimwa muhimbili mnalia.
Sifanyi jambo lolote kinyume Cha nature Mimi
Wajane lazima watakwepo tu...tusubiri kusikia mazishi ni lini, kish tukashuhudie watu wakitoa vilio.vipi mwana ameacha wajane nini mbona watu wanalia Sana humu
Hivyo vyote ulivyotaja haviruhusiwi,Ila Sasa unawezaje kumkamata mtu bila ushahidi?
Tena unakuta huyo mwanamke aliyekubali kufanywa blender (anayesagwa)ameridhika kwa moyo wake wote,wewe una haki gani ya kumshitaki? utajuaje yanayoendelea chumbani?
Vipi wakikuambia kwamba wao Ni marafiki tu na wameamua kuishi pamoja?
Sheria zipo wazi lakini tatizo ni jinsi ya kuthibitisha. Kupata ushahidi wa hao watu wanafanya michezo ya kusagana Ni ngumu Sana,Bora shoga rahisi kumjua na kumfungulia mashtaka maana unampima Kama Yule Askari wa Zanzibar. Ila wanaochezeana vis*m* Ni ngumu Sana kuwajua na ukiwajua Ni ngumu kuwakamata maana ushahidi wake ni mtihani.
NyumisiDuh! ilikuwaje mkuu.........haya mambo yatakuwa yanaendeshwa na roho chafu nyuma yake. Yaani msagaji anakuwa na nguvu hadi kumnyang'anya demu mwanaume rijali?
Ata yule jamaa alimwagiwa tindikali Arusha alikuja na kudai kisa chake ni kwamba alikataa kumpumulia lishoga limoja huko kitaaa.Kila siku mie huwa nasema hapa, hili suala la wananchi kuchukua maamuzi hasi holela litakuja fika pabayaa, na watu sahiv washajua zigo linaangushwa mapenzi ya jinsia 1, wanajua hapo hakuna atae jaliii.
Watu watakuja kuelewa baadae sanaaa.
ππ nimesimulia lakini sijataka kuweka dot kabisa UshimenYaliwahi kunikuta, hii kitu hua sipendi kabisa..π kuisimulia