Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moderator mie nna ombi kwako, kuna watu wana matusi sana humu ndani, hasa likija suala la kuhusu mapenzi ya jinsia 1,
Tunashauri utumie option ya ku report unapokutana na changamoto hizo.Moderator mie nna ombi kwako, kuna watu wana matusi sana humu ndani, hasa likija suala la kuhusu mapenzi ya jinsia 1,
Unakuta mtu kaleta post, yaan mie nikichangia tyuuh hata km nitatoa comments ya staha na haina ubaya, watu watanishukia km mwewee hapo na kuanza kunikejeli na kunitukana matusi yote, sio kwamba siwezi kuwajibu Ila naepuka Ban, hadi huwaa najiuliza kwann sasa wanaleta hizo post? Tusijadili?
Hawa watu muwaangalie kwa umakini, wanafanya km hii JF ni ya kwao, mie sio mpenzi sana wa ku report sababu najua naweza battle nao na ninawashinda, ila tangu nipewe onyo nimeamua kuwa mpoleee. Ila inaumiza kuona unasakamwaa afu wao hawafanywi chochote.
Sometimes nitashindwa kuvumilia ntaamua ni battle mwsho nipewe ban, ila naogopaa. Naomba muwa angalie kwa umakini hawa watu.
Samahani lakini km nimekosea, nimeona nilete kero yangu kwako, [emoji120][emoji120][emoji120]
Kama visu alivyokuwa akichukua ndo kama hivi basi sishangai kwa kilichomtokea.....!
View attachment 2602629
Kwani wamefanya kosa gani? Kuna sheria inayozuia?Ina maana waliruhusiwa kufunga ndoa ya jinsia ukumbini?. This is not serious, vyombo vya dola vilikuwa wapi?.
Is she or he?? View attachment 2602795
Ni mwanamke sema wale wanaheshimu sexual orientation ya mtu. Si unajua South Africa ndoa za jinsia moja ni Kama tamaduni.Au alikuwa mwanaume?mbona wameandika he?
Wenyeji wa Mwanza na wanaomfahamu wanasema ana Watoto wawili!!! Sasa hizi habari za kuwa Shemale na uume mkubwa umezitoa wapi?Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."
Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.
Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Watu kwa maneno hawajambo 😂😂😂 kaacha mtoto ana miezi nane au saba na ana mtoto mkubwa nimerusha pichaWenyeji wa Mwanza na wanaomfahamu wanasema ana Watoto wawili!!! Sasa hizi habari za kuwa Shemale na uume mkubwa umezitoa wapi?
Dejane
...ila hapo inaonekana si ukumbini.. panaonekana kama nyumbani flani hiviIna maana waliruhusiwa kufunga ndoa ya jinsia ukumbini?. This is not serious, vyombo vya dola vilikuwa wapi?.
Is she or he?? View attachment 2602795
Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."
Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.
Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Duh, sasa nani anaweza kuliprove hili, labda wazazi waliomzaa au watu wa karibu sana naye.....Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."
Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.
Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Kama visu alivyokuwa akichukua ndo kama hivi basi sishangai kwa kilichomtokea.....!
View attachment 2602629
Nimeshakujibu ila comment yangu imefutwa.
Naamini hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya huyu mtu anayejiita Mbina yaza
Pamoja na wengine wote ambao wametoa lugha za kuhamasisha MAUAJI na CHUKI dhidi ya watu wanaosemekana kuwa ni wapenzi wa jinsia moja.
Hakuna yeyote katika hii nchi anayeruhusiwa kutoa uhai wa mtu kwa minajili yoyote ile.
Chuki, uchochezi, mauaji, vyote havikubaliki kwa vyovyote vile. Ahsante.
Mzee umeambiwa ameacha watoto na alijifungua miezi michache iliyopita. Uwe unajitahidi kusoma comments kabla haujacomment.Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."
Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.
Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Ahsantee nashukuru, nitakua nafanya hivyo.Tunashauri utumie option ya ku report unapokutana na changamoto hizo.
Reported Posts zote zinafanyiwa kazi
Nimechekaa mnooo, eti anasema huyo ana uume tena mkubwa tyuuh na unafanya kazi.Watu kwa maneno hawajambo [emoji23][emoji23][emoji23] kaacha mtoto ana miezi nane au saba na ana mtoto mkubwa nimerusha picha
Hakuwa shemale