TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

H
Hebu fikiria mtu kidudu chake mwenyewe unaanza kumuua hizi nazo ni roho za kishetani!Kuna faida gani kuuchukia ushoga na usagaji na kuupenda uuaji?
Wanatuharibia jamii, Siku hizi kulea watoto wa kiume uwe na "juhudi kubwa" yani umchunge haswa.. maana hayo mafirauni yamejaa mitaani
 
Serikali haiwezi kuwafanya chochote hao unajua wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boraa umwambie anadhani serikali haina kazi ya kufanya, ipo kumsikiliza yeye kila anachotakaa.
 
Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."

Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.

Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Acha ujinga alizaaje?,hujui kabla ya GGM alikuwa mke wa mtu,hujaona mwanae hapo

USSR
 
OK,hao ndio waliomponza akajiamini hakujua yuko kwenye ardhi isiyotaka ushoga
Mbona mashoga wapo kibao mtaani na hao malesbiani wapo kila kona. Kilicho muua huyu dada ni ukorofi na ubabe wake tu sio ulesbian. Alikuwa mbabe sana utamwambia nn pesa anayo. Ila angekuwa sio mkorofi asingekufa
 
Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."

Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.

Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Nonsense...umeropoka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali haiwezi kuwafanya chochote hao unajua wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?
Lazima wangelipishwa fine..wataalamu wakawashtua nchi hii ipo kwenye vita thus wakafanya rectification ya death announcement from He to She.
 
Kumbe alishafikia kiwango hiki.Hela zote hzo kumbe alikuwa anazitoa huku?Afadhari apumzike Kwa style hyo.
IMG-20230429-WA0110.jpg
 
Back
Top Bottom