TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Ma vibrator na dildo au ulimi na vidole haviwez kuambukiza maradhi zaid ya uume mchafu au unaotumika vibaya
Kafanye tena utafiti juu ya hilo.
Nashindwa kuandika mengi kuelezea wana ambukizana vipi na magonjwa gani sababu ya utamaduni wetu, naona maneno yatakuwa makali.
 
Sasa wewe jinsia yako tata kwanini watu wasikushambulie?.
Moderator mie nna ombi kwako, kuna watu wana matusi sana humu ndani, hasa likija suala la kuhusu mapenzi ya jinsia 1,

Unakuta mtu kaleta post, yaan mie nikichangia tyuuh hata km nitatoa comments ya staha na haina ubaya, watu watanishukia km mwewee hapo na kuanza kunikejeli na kunitukana matusi yote, sio kwamba siwezi kuwajibu Ila naepuka Ban, hadi huwaa najiuliza kwann sasa wanaleta hizo post? Tusijadili?

Hawa watu muwaangalie kwa umakini, wanafanya km hii JF ni ya kwao, mie sio mpenzi sana wa ku report sababu najua naweza battle nao na ninawashinda, ila tangu nipewe onyo nimeamua kuwa mpoleee. Ila inaumiza kuona unasakamwaa afu wao hawafanywi chochote.

Sometimes nitashindwa kuvumilia ntaamua ni battle mwsho nipewe ban, ila naogopaa. Naomba muwa angalie kwa umakini hawa watu.

Samahani lakini km nimekosea, nimeona nilete kero yangu kwako, [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."

Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.

Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Huyu alikuwa mwanamke na ana mtoto mkubwa na aliolewa angekuwa mwanaume asingebeba mimba
 
Nipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.

Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.

Wenye taarifa kamili tujulisheni.

Nawasilisha.

======

UPDATE;

POLISI YATHIBITISHA KUTOKEA KWA MAUAJI


Akizungumzia kuhusu taarifa hizo, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, ACP Berthaneema Mlay amesema “Ni kweli tukio hilo limetokea, marehemu ametambulika kwa jina la Milembe Suleiman alikuwa mfanyakazi wa GGM, kitengo cha Ugavi amekutwa ameuawa katika eneo ambalo anajenga nyumba zake.

Eneo ambapo tukio limetokea linaitwa Mwatulole ambazo zilikuwa katika hatua ya ujenzi, mpaka sasa wameshikiliwa watu wanne na uchunguzi unaendelea.”

Alipotakiwa kuelezea kuhusu uchunguzi wa awali wa tuko hilo amesema “Yaani hatujabaini chochote mpaka sasa, ndio maana uchunguzi unaendelea.”

Pia soma
--

View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake​
Sasa mbona inaonekana hakuwa msagaji.

Akimzungumzia marehemu, Paulina alisema ni mtoto wa nne kuzaliwa kati ya watano wa familia na ameacha mtoto mmoja.
Alisema awali alikuwa akiishi naye hadi mwaka 2003 alipoanza kujitegemea na baadaye kujenga nyumba yake maeneo ya Nyamalembo.

“Aliolewa na baba mmoja wa Kinyarwanda, lakini kutokana na vipigo waliachana, baadaye aliolewa na mwanamume mwingine akazaa naye mtoto mmoja ambaye anasoma kidato cha tano, lakini waliachana (na mumewe) na yeye akaendelea na maisha yake,” alisimulia Paulina.

Alisema mdogo wake huyo alikuwa mtu anayesaidia familia yao na watu wengine bila shida na kifo chake kimeacha pengo kubwa kwao.

Zaidi: Mwili wa Milembe wa GGM kuzikwa leo
 
Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."

Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.

Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Acha uongo wewe

 
Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."

Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.

Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Amesema Milembe aliolewa na kubahatika kupata mtoto mmoja wa kike lakini baadaye alitengana na mumewake.

inatoka:
 
Uhai wa mtu ni kitu cha dhamani , sasa hii hali ya kujichukulia Sheria mkononi wakati mahakama zipo na sheria za nchi zipo ni Hatari sana itazidi kuleta maumivu kwa jamii.

hapa sio Pakistani au Iran au wapi. Ni sawa tabia aliyotenda sio maadili mazuri lakini waliomuua wametenda mbaya zaidi yake marehemu.

Pengine angekuwa hai akahojiwa angeleta majibu mazuri ya kumsaidia na jamii inayomzunguka ya nini chanzo cha kufanya haya mambo na suluhisho.

Huyo aliyeuwawa ameletewa maumivu makali na familia yake imeumia.
Ndio alifanya kosa lakini hakustahili kuuwawa na binadamu halafu mbona kuna waliotenda makosa makubwa zaidi yake lakini bado wapo hai sababu sheria inafuata mkondo wake.

Halafu kanda ya ziwa Matukio ya kujichukulia sheria mkononi yamezidi sana .
 
Kuna kitu naona watu hawaelewi, huyo inaonekana alikuwa na umbile la kike zikiwemo na matiti kabisa lakini chini hakuwa na uke bali alikuwa na uume, kwa kiingereza wanaitwa "Shemale."

Mtu wa hivyo uume wake unafanya kazi vizuri kabisa kama wa mwanaume yeyote yule na pia anaweza kabisa akampa mwanamke mwingine ujauzito.

Sasa kwa wasioelewa kwa kumuona umbile lake na sura yake wanamuona kama mwanamke na ndio maana walikuwa wanamchukulia kama msagaji kumbe sio, ana uume kabisa tena mkubwa tu. Jaribu kuangalia kwenye Google about the word (Shemale) ndio utakubaliana na mimi.
Huyo dada ni mwanamke kamili kabisa na alishaolewa mara mbili. Mume wake wa kwanza alikuwa mnyarwanda waliachana na mume wa pili alizaa nae mtoto mmoja ambaye kwa sasa yuko form six
 
Si kweli ,mzazi aliyemlea aliemueleza vizuri ,ameacha mtoto mmoja na aliolewa kabisa na mwanamme ila wakashindwana.
Alifunga ndoa kwa Shehe au Mchangaji yupi? Kama ni ndoa ya kiserikali Wilaya ipi? Lini? Mume wake anaitwa nani? Siku ya kutoa mahari nani alikuwepo?
Post picha akiwa na ujauzito, akiwa cliniki, akivaa deraa. Hospital/kituo cha afya ipi alienda kujifungua?

Huyu ni mwanaume mwenye genes za kike ( matiti), atakuwa na tango la kutosha kabisa!
Angalia vizuri mrembo aliyevishwa pete, alivyorembua baada ya kupata bussu la Mume wake.
Ova!
 
Back
Top Bottom