TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Tango la kutosha
 
Unaisikitikia serikali yako au unahofia usagaji wako!? Na bado watu washaamua kuwafungia kazi mtalimwa hivyo visagio vyenu kwa shoka.Yan unapigwa shoka katikat ya kisagio pumbavu zenu laana nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajidanganyaa wee.
 
Nimesoma michango yote ya wadau hadi mwisho,
Nimehitimisha kwa kusema kuna mstari mwembamba sana kati ya Ufukara na Roho Mbaya,

Mafukara siku zote hufurahia matatizo ya watu, Mafukara siku zote hutafuta mtu mwingine wa kumlaumu juu ya ufukara wao, ufukara unadumaza akili sana tunaona hata kwenye huu uzi uwezo dumavu wa baadhi ya wachangiaji,

Kisa mapenzi ya jinsia moja mtu anafurahi kuona Mtanzania mwenzie anauliwa kikatili lakini deep down utaona ni chuki ya aina ya maisha aliyoishi huyo Marehemu ambapo Mafukara wengi waliyatamani ila waliyakosa na pengine hadi wanakufa hawatayaishi,

Kuna Mstari mwembamba sana kati ya Ufukara na Roho Mbaya....
 
Karibu dear, watu umaskini unawatesa mnoo.
 
Na asilimia kubwa ya wanaofurahi juu ya hiki kifo cha kikatili ni mafukara waganga njaa, rizki wanazipata kwa kuzurura kama mijibwa koko, wanaishi uswekeni na hizi mvua ni mwendo wa kuchanua miguu na kukanyaga matope ili wafike kwenye vibanda vyao, familia imewaelemea hawana furaha tena,

Kundi lingine ni la graduates, wameshatembeza bahasha hadi soli za viatu zimelika upande, wamekata tamaa wanachomiliki ni smartphone na laptop, wamepanga chumba kimoja wanakimbizana kwenye kodi au wanaishi kwa mashemeji zao, wamepauka kwa mawazo na wengine wamezeeka kabla ya umri wao,

Kundi lingine ni la wale wamama waliozalia nyumbani, wamepitia manyanyaso kuanzia kwa baba wa watoto wao, ndani ya familia, hadi kwa majirani, walijiingiza kwenye vikoba bila kua na shughuli maalum, madeni yanawatokea puani, kuna hawa wengine walisoma soma wakapata vidiploma na degree, ndoa hakuna, kazi ina mshahara mdogo, umri unasonga, akiingia mitandaoni anakutana na slogan ya kataa ndoa, akitoka nje anakumbana na wadogo zake wanatolewa mahari yeye kaamua kununua pete kwa machinga kajivesha,

Kuna hili kundi lingine liliwahi kuoa, likapoteza kazi, likatumia akiba yake yote kufanya biashara, likaangukia pia, likarudisha mpira kwenye nyumba ya urithi, huku kuna dada aliachika, kule kuna shangazi, pale kuna mjomba na familia yake, full heka heka, furaha ya maisha itoke wapi.....
 
Waliogopa sana nami nikatumia kama opportunity nikamla yule msagaji, kulipiza alichokuwa anamfanyia manzi angu.
[emoji2][emoji2][emoji2] inaitwa mbwa kala mbwa vipi uliendelea naye huyo mprnzi wako au ulimwacha?
 
[emoji2][emoji2][emoji2] inaitwa mbwa kala mbwa vipi uliendelea naye huyo mprnzi wako au ulimwacha?
Aliondoka kwa hasira wakati nakata mauno kwa mwenzie na hakurudi tena. Alikuja kunitafuta baada ya miezi kama minne mbele nami nikamfungia vioo ikawa ndo basi tena.
 
Basi watu hao ndio waliojazana kwenye huu uzi wanabweka na kutukana, hawajui wanajifukuzia Baraka, wanawalaumu Wapenzi wa jinsia moja kwenye magumu yao ya Maisha, wanawalazimisha wajione hawana furaha na dhalili kama walivyo wao, wanatamani kuwasikia wakilalamika Maisha magumu kama wao, wamepania kuwaona wakitaabika kama wao,

Niwaambie tu, hakuna baraka itakujia kwenye Maisha yako kama umeweka vifundo kwenye Moyo wako, Chuki ni Uchafu wa Roho, safisha kwanza Roho yako halafu utaona mambo yako yanavyofunguka,

Kumchukia Cocastic ama Culture Me haikulipii wewe kodi, hakukupi rizki zaidi unaifunga, mnatia huruma, mnajidhalilisha, mnaonekana dhaifu mbele ya hao mnaowachukia, zaidi mnajipa magonjwa maana ufukara pekee ni tatizo ukiongeza na chuki unakaribisha Presha, Kisukari, Shinikizo la Damu, na mengine ya kufanana na hayo,

Safisha Roho yako, Chuki ni Uchafu.
 
Kwaiyo ata RIP hakuna ?
 
Aliondoka kwa hasira wakati nakata mauno kwa mwenzie na hakurudi tena. Alikuja kunitafuta baada ya miezi kama minne mbele nami nikamfungia vioo ikawa ndo basi tena.
Angekuja kukosa asingeacha hyo tabia
 
Wanamuonea wivu huyu sister alikuwa fogo anakula pesa kwa raha zake!

Haya makapuku ya humu yanayoshindia vihogo na chachandu yanabwata ile mbaya!

Umasikini ni shida! Na tozo.
 
Safi sana. Umesema vizuri sana.

Mwenye kusikia na asikie.

[emoji8][emoji8][emoji8]
 
Haya mambo ya wasagaji yaskie TU
Usiombe mkeo/galfrend wako aingie mikononi mwa msagaji, achomoki[emoji1]
Wana nini hawa wasagaji ?

Kwa nini wawateke wanawake wakati hawana uume ,wanatumia uchawi gani kuridhishana ?
 
Sawa tajiri πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Tumekuelewa sisi mafukara
 
Kwaiyo matajiri hawwchukii LGBTQ sio
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Asante lkn kwa ushauri murua kabisa ubarikiwe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…