TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Lovie Lady umenitoa machozi asubuhi hii, umenifanya nijitafakari hata mimi kipi nilichofanyia jamii yangu kwa kidogo nilichobarikiwa [emoji24][emoji24] Maisha ya Milembe yamenipa chachu na mimi nifanye jambo nikumbukwe kwa Wema kama hivi, niombewe Duaa njema na Watoto Yatima, Wajane, Maskini na Walemavu,

Aendelee kupumzika kwa Amani Shujaa Milembe, tukisema ni shujaa basi tunamaanisha kweli ni Shujaa aliyemulika Maisha ya wengi,

Waliomuua hawatakaa wapate amani ya moyo na laana itawatafuna hadi vizazi vyao vya 10, kila wafanyalo damu ya Milembe isifutike kwenye mikono yao,

Wanaoshabikia kifo chake hawatopata baraka, vilio vya Yatima, Wajane, Walemavu na Maskini viwe vizito katika nyoyo zao, wawe wanaota ndoto za maruwe ruwe tu,

Innalillah wainna Illah Raji'un [emoji120]
 
Wewe umewahi kusagwa na milembe? Pole sana ndo kusema umebaki mjane?
 
Are you serious?
Huwezi ukakuta tajiri anatumia muda wake kutukana, kubully na kuhamasisha mauaji kwenye mitandao juu ya wapenzi wa jinsia moja,

Tajiri anajali muda wake kidogo aupatao ku socialize kwenye vitu positive.
Kwa hiyo wewe uko kundi gani?
 
Are you serious?

Kwa hiyo wewe uko kundi gani?
I am serious I am (jike) female black short , long hair , far not thin , so kama unataka kujua na watu wananiona fine wananipenda sio jinsia yangu ni jinsia ya kiume pekee sisagani nakaa kwenye kitu inayoitwa human rights.
Tosha Sina jingine hakuna
 
Wanwake tamaa Sana watu wanasagwa kwa vitu vidogo sana

Eti alikuwa awanawasaidia mara oho mkiendelea hivi mtasagwa sana
 
Andika mazuri yake wajue watu wanapenda kuhukumu tu
 
Kama kauawa kweli basi itakua ni ishu nyingine nje ya huo usagaji,, sioni ni namna gani mtu atachukua hatua za namna hiyo kwa lesbo,, kwa kipi hasa yani,, tena kwa Geita,, hapana
Unadhani kwanini wamkate mikono? Waliommaliza huyo shetani wanajua walichokifanya.
 
Acha ujinga, hiyo kitu iko wazi psychologically alikuwa ana-overcompensate ili kuficha uchafu wake. Kama unachofanya wewe hapa.
 
Acha ujinga, hiyo kitu iko wazi psychologically alikuwa ana-overcompensate ili kuficha uchafu wake. Kama unachofanya wewe hapa.
Tena hao wanawake wanavyojua kuteteana sasa full shida,,,

Anyway wamempeleka sehemu sahihi huko alimo
 
No yaani hapo anasema daah sijui wazazi wakiona hizi vdeo itakuwaje kiukweli binti anaonekana hapendi hata kwa usoni anaonekana afurahii kabisa, sema kama kweli kama ana pesa basi wanakubali KWA sababu ya pesaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. MUNGU tusaidie
 
Ikow wazi wanawake wanaendeshwa na hisia, ni weak emotionally na very sentimental hawatakiwi kuaminiwa wala kusikilizwa. Au watakupoteza milele.
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ‘ŒπŸ‘Œ UMENENA YOTE MKUU

NA UKIJUA HILI HUTAPATA SHIDA HAPA DUNIANI πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ¦… SHUKRAN
 
Ila kwa Gay inawezekana?
Wewe ndio yule uliyeleta uzi wako ule? sasa subiri wananchi wenye hasira kali na maadili ya jamii wakugundue. Watakata hiyo mikono, new type of human testicles.

Wanao-override biology wote mjiandae, tunakuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…