Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Hivi polisi hawajawakamata hawa watu waliomuuwa huyu afisa ugavi aaah polisi acheni unafiki wenu jamani.Kemirembe aliuawa na viongozi mkoa wa geita wakishirikiana na polisi na viongozi wa Chama Cha Majambazi kwa sababu ya fedha zilzotolewa na kampuni ya uchimbaji madini geita gold mine ili pajengwe stendi ya mabasi ya kisasa kama ilivyo nyegezi mwanza pia GGM walitoa fedha kwa viongozi wa geita wajenge uwanja wa kisasa wakazitafuna pesa hakuna uwanja
Polisi wenyewe wanahusika na haya mauaji kwa kifupi viongozi wote wa geita wanahusika sababu kemilembe alikuwa anajua mpango wote na alikataa kuwa sehem ya mgao, alichotaka yeye ni kuona maendeleo ya mji wa geitaHivi polisi hawajawakamata hawa watu waliomuuwa huyu afisa ugavi aaah polisi acheni unafiki wenu jamani.
Polisi wenyewe wanahusika na haya mauaji kwa kifupi viongozi wote wa geita wanahusika sababu kemilembe alikuwa anajua mpango wote na alikataa kuwa sehem ya mgao, alichotaka yeye ni kuona maendeleo ya mji wa geita
Alikuwa ni mfanyakazi wa GGM anajua kuhusu fedha zilzotolewa na wazungu kwa ajili ya ujenzi wa stendi geita, lakini viongozi wa serikali wakaamua wazitafuneKemelembe alikuwa na ukubwa gani hadi wamhuhofie
MmmhAlikuwa ni mfanyakazi wa GGM anajua kuhusu fedha zilzotolewa na wazungu kwa ajili ya ujenzi wa stendi geita, lakini viongozi wa serikali wakaamua wazitafune
Acha ujinga ndio CCM imue kikatili hvyoKemirembe aliuawa na viongozi mkoa wa geita wakishirikiana na polisi na viongozi wa Chama Cha Majambazi kwa sababu ya fedha zilzotolewa na kampuni ya uchimbaji madini geita gold mine ili pajengwe stendi ya mabasi ya kisasa kama ilivyo nyegezi mwanza pia GGM walitoa fedha kwa viongozi wa geita wajenge uwanja wa kisasa wakazitafuna pesa hakuna uwanja
DuhAcha ujinga ndio CCM imue kikatili hvyo
Kwanza yeye Ana usika VIP na Mambo ya CRS
Yule atakuwa ameingia anga ya mtu kumsaga demu wake jamaaa akaona wacha nimtangulize kwa sir god mapema
Hukijui chama changu CCM vizuri we jamaa!!Acha ujinga ndio CCM imue kikatili hvyo
Kwanza yeye Ana usika VIP na Mambo ya CRS
Yule atakuwa ameingia anga ya mtu kumsaga demu wake jamaaa akaona wacha nimtangulize kwa sir god mapema
Ila waTz hizi tabia za kuua uana mmerithi wapi hizi roho? Mtu anaweza kuja kukuua kwa mambo yake personal akakusingizia ushonga/usagaji. Shauri yenu mkijihisi mko salama.
Wamehukumiwa kunyongwaWashakula kitanzi huko...
Mihemko ishaisha Sasa ni mwendo wa majuto tu.
Yule mwenzao Pastory aliamua kujiua kuliko kuozea jelaWamehukumiwa kunyongwa
Aliyewatuma alaniwe sanaYule mwenzao Pastory aliamua kujiua kuliko kuozea jela
Mihemko na Imani za kilimbukeni bablai...Sasa yule mwanamke alishiriki mauaji kwa nini?
Mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu
Ukweli ni kwamba kukosa watoto ni huzuni na bila Mungu kusimama na sisi kuzaa watoto ni presha kubwa.
Viatu vya wazazi waliozaa na watoto wakaingia kwenye haya mambo havitoshi. Mungu atupe imani
Hivi baada ya kumu-engage yule binti 2017 na kukatwa na polisi aliendelea na ndoa au aliendelea kusagana!?
Kama kauwawa kweli familia yake na familia za aliokuwa anawasaga wanajua walichofanya.
Mihemko na Imani za kilimbukeni bablai...
Sasa mihemko imeisha anataman Bora angekufa yeye