TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Uncouth...,so wicked.
Enewei mshahara wa dhambi ni mauti🤔
Asema BWANA.
 
DIVISHENI FOO

Tunaomba bonyeza report kwenye hiyo post yenye matusi, ifanyiwe kazi kwa haraka
Nimeshakujibu ila comment yangu imefutwa.

Naamini hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya huyu mtu anayejiita Mbina yaza

Pamoja na wengine wote ambao wametoa lugha za kuhamasisha MAUAJI na CHUKI dhidi ya watu wanaosemekana kuwa ni wapenzi wa jinsia moja.

Hakuna yeyote katika hii nchi anayeruhusiwa kutoa uhai wa mtu kwa minajili yoyote ile.

Chuki, uchochezi, mauaji, vyote havikubaliki kwa vyovyote vile. Ahsante.
 
Huna jibu na ndo maana unauliza swali badala ya kujibu.

Let's have a real talk bila matusi.

Najua Deep down unajichukia lkn kwa nje unaonesha uko sawa. Na sababu hapa upo under anonymous ID unajimwambafy lkn huwezi fanya hivyo hadharani.

Kama huwezi fanya hivyo hadharani ni kwa sababu upo jela.

Jela ambayo wewe mwenyewe umejitengenezea na huwezi kutoka.

Mmerubuniwa kwa utandawazi na watu wanaofanya haya kwa manufaa yao. Kwa baadhi ya cults lesbianism na gayism ni ritual. Wakitoka hapo wanapewa faida kibao. Lkn wewe jiulize unapata faida gani zaidi ya 'fake' pleasure ndani ya sekunde chache?

Hujawahi sikia waganga wanaotoa masharti ya wanaume kuwafira wanaume wenzao ili kupata mali? Huo ni ushahidi kwamba hio ni ritual kwa waabudu shetani. Wao wanafaidika kwa mali na faida kedekede, sijui labda na wewe unafaidika mamaa ukiachana na hako ka orgasm ka sekunde chache.

Mwisho nakuuliza hayo mateso unayopitia, kukosa uhuru, etc... utataka mwanao wa kike nae apitie?
Achana naye.Ni lesbian Huyu we hujawah kuona thread yake ana confess Yuko anatwanga na kukobia wanawake wenzake.Ingia kwenye thread zake uone.
 
Back
Top Bottom