TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Kwaiyo matajiri hawwchukii LGBTQ sio
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Asante lkn kwa ushauri murua kabisa ubarikiwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwezi ukakuta tajiri anatumia muda wake kutukana, kubully na kuhamasisha mauaji kwenye mitandao juu ya wapenzi wa jinsia moja,

Tajiri anajali muda wake kidogo aupatao ku socialize kwenye vitu positive.
 
Kama kauawa kweli basi itakua ni ishu nyingine nje ya huo usagaji,, sioni ni namna gani mtu atachukua hatua za namna hiyo kwa lesbo,, kwa kipi hasa yani,, tena kwa Geita,, hapana
Nasikia alikuwa anafanya madili na wanaume. Labda amedhulimiana na wanaume wenzie
 
Na asilimia kubwa ya wanaofurahi juu ya hiki kifo cha kikatili ni mafukara waganga njaa, rizki wanazipata kwa kuzurura kama mijibwa koko, wanaishi uswekeni na hizi mvua ni mwendo wa kuchanua miguu na kukanyaga matope ili wafike kwenye vibanda vyao, familia imewaelemea hawana furaha tena,

Kundi lingine ni la graduates, wameshatembeza bahasha hadi soli za viatu zimelika upande, wamekata tamaa wanachomiliki ni smartphone na laptop, wamepanga chumba kimoja wanakimbizana kwenye kodi au wanaishi kwa mashemeji zao, wamepauka kwa mawazo na wengine wamezeeka kabla ya umri wao,

Kundi lingine ni la wale wamama waliozalia nyumbani, wamepitia manyanyaso kuanzia kwa baba wa watoto wao, ndani ya familia, hadi kwa majirani, walijiingiza kwenye vikoba bila kua na shughuli maalum, madeni yanawatokea puani, kuna hawa wengine walisoma soma wakapata vidiploma na degree, ndoa hakuna, kazi ina mshahara mdogo, umri unasonga, akiingia mitandaoni anakutana na slogan ya kataa ndoa, akitoka nje anakumbana na wadogo zake wanatolewa mahari yeye kaamua kununua pete kwa machinga kajivesha,

Kuna hili kundi lingine liliwahi kuoa, likapoteza kazi, likatumia akiba yake yote kufanya biashara, likaangukia pia, likarudisha mpira kwenye nyumba ya urithi, huku kuna dada aliachika, kule kuna shangazi, pale kuna mjomba na familia yake, full heka heka, furaha ya maisha itoke wapi.....
Ongezaa sautiii dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajuaga kunikomesheaaaa.
 
Marehemu kaacha wake wengi tutegemee mengi siku ya mazishi wake zake watalia na kusaga meno ahaaaaa kapata adhabu sahihi...
Msiue Kisa mmeshindwa ligi huo sio uanaume mi nijike baba yangu aliniambia olewa na mume mwenye sifa hizi, kisakashindwa jambo hakimbilii kuua, au kufanya unyama ni kutatua jambo liwe fresh, jingine mwanaume mwenye kujiamini, kujipenda, kukujali, maana ndio atakujali, mwenye kuchapa kazi, mwenye pesa ,so kuuasio solution soon atatokea milembe mwingine na amejipanga kiulinzi, mumemuua mtu kosa hamuwezi mapigo Sio kifedha au nini
 
Msiue Kisa mmeshindwa ligi huo sio uanaume mi nijike baba yangu aliniambia olewa na mume mwenye sifa hizi, kisakashindwa jambo hakimbilii kuua,au kufanya unyama ni kutafuta jambo like fresh ,jingine mwanaume mwenye kujiamini,kujipenda,kukujali,maana ndio atakujali,mwenye kuchapa kazi,mwenye pesa ,so kuuasio solution soon atatokea milembe mwingine na amejipanga kiulinzi ,mumemuua mtu kosa hamuwezi mapigo Sio kifedha au nini
Punguza hasira nani kamkata mapanga? Mimi ni mwanamke napinga kabisa usagaji na ushoga. Hatutaki kizazi kijacho kikute mizizi ya ushoga na usagaji.

Milembe alikuwa na binti mkubwa tu embu jiulize alipokuwa akisikia mama yake kaoa alijisikiaje huko shule? Video za milembe za kuoa ziko mitandani watoto siku hizi wanaingia mitandaoni wanaziona unadhani hayo ni malezi?
Staki kujua kafa kwa sababu ipi tunalokemea hapa ni tabia zake za kuoa wanawake wenzake.

Biblia na vitabu vya dini vyote ndoa ni ya mwanaume na mwanamke sio kwa jinsia moja.
Case closed.
 
Back
Top Bottom