TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Punguza hasira nani kamkata mapanga? Mimi ni mwanamke napinga kabisa usagaji na ushoga. Hatutaki kizazi kijacho kikute mizizi ya ushoga na usagaji...
Sijasema wewe ni mwanaume nimesema mumemuua maana ameweza kuwa tuliza wanawake zenu Kwa vidole vyake na duidu feki na pesa za kumtosha unampa manzi elfu kumi inaumudu Nini?

Mwenzenu milembe anatoa gari na nyumba mtu anafurahi kumuona walahi hii pisi msiba wake uwe wa taifa watu wanamsemaga mangi ni dada wa taifa sijui mdudu gani ??? Hapana aisee milembe ndio dada wataifa kasaidia watoto wengi kusoma shule za kistaa
 
Basi watu hao ndio waliojazana kwenye huu uzi wanabweka na kutukana, hawajui wanajifukuzia Baraka, wanawalaumu Wapenzi wa jinsia moja kwenye magumu yao ya Maisha, wanawalazimisha wajione ...
Mke wa mtu ni sumu.

Kama alifikia hatua ya kutembea na wake za Watu,hayo ndo matokeo yake
 
Sanamu la milembe iwekwe pale Dodoma katikati ya barabara za kwenda mikoani maana kasaidia wamama wengi kuwapa mitaji , kuwajengea nyumba na kuwapa magari, na wanaume wakikupa hivyoo anakuganda milembe hakugandi bhana
Kumbe alikua wamoto hivyo!

Alale pema peponi, atakumbukwa kwa mazuri aliyoyatenda, na nimeona kila Mtu anamsifia kwa roho nzuri na kusaidia watu hadi majirani zake,

Maa shaa Allah, kweli vizuri havidumu
 
Kumbe alikua wamoto hivyo!
Alale pema peponi, atakumbukwa kwa mazuri aliyoyatenda, na nimeona kila Mtu anamsifia kwa roho nzuri na kusaidia watu hadi majirani zake,

Maa shaa Allah, kweli vizuri havidumu
Dream Queen Yes alikua mwema zaidi ya hayo yanayozumzwa kasomesha watoto wengi sana mayatima,kawapa pesa vijana,wababa na wamama wajasiliamali wadogo wadogo kujikwamua kiuchumi, kawapa nyumba za kuishi moja kwa moja sio kuwakodisha, kalisha wengi wenye njaa kwa ufupi Marahemu Mirembe kafanya mengi mazuri na makubwa ata ukienda mtaa aliokua akiishi kwa wanaomjua majirani wote wana huzuni nzito kumpoteza Milembe

Alikua very kind and supportive kwa jamii MWENYEZI MUNGU amsamehe madhambi yake na amlipe Pepo 🙏
 
Huyo Milembe mpumbavu tu motoni moja kwa moja muhaya gani mjinga mjinga Kama huyo Milembe anafanya usagaji uchafu mkubwa nawachakuia wanwake wapumbavu Kama Milembe ambao hawajitambui
Dream Queen Yes alikua mwema zaidi ya hayo yanayozumzwa kasomesha watoto wengi sana mayatima,kawapa pesa vijana,wababa na wamama wajasiliamali wadogo wadogo kujikwamua kiuchumi,kawapa nyumba za kuishi moja kwa moja sio kuwakodisha, kalisha wengi wenye njaa kwa ufupi Marahemu Mirembe kafanya mengi mazuri na makubwa ata ukienda mtaa aliokua akiishi kwa wanaomjua majirani wote wana huzuni nzito kumpoteza Milembe

Alikua very kind and supportive kwa jamii MWENYEZI MUNGU amsamehe madhambi yake na amlipe Pepo 🙏
 
We upo depressed na Maisha that way huna unachofahamu kuhusu Upumbavu unaofanywa na Hawa Wapumbavu Kama Milembe wasiojitambua na kujua kuwa maadili ya jamii ni muhimu kuzidi hizo buku buku anazo wapa wake za watu ili awasage
 
Dream Queen Yes alikua mwema zaidi ya hayo yanayozumzwa kasomesha watoto wengi sana mayatima,kawapa pesa vijana...
Ooh Maskini kumbe aligusa kundi kubwa lililosahaulika kwenye jamii yetu, wanaomchukia aibu iwe juu yao ametenda makubwa kwa umri wake,

Yupo kwenye Dua zangu na nitamtolea sadaka, in shaa Allah.
 
Tutolee ufukara wako huko,
Umepandwa na kichaa ulivyoona ametenda makubwa ambayo ukoo wako wote haujawahi kuufanya,

Hilooooooooo aibu yako
Makubwa kuwasaga kwa Bei sawa na bure , umasikini unawasumbua Hadi mnauza utu wenu wapumbavu nyie

Huyo mjinga Milembe she was an idiot pro max
 
Makubwa kuwasaga kwa Bei sawa na bure , umasikini unawasumbua Hadi mnauza utu wenu wapumbavu nyie

Huyo mjinga Milembe she was an idiot pro max
Umeona usagaji wake tu wakati umeambiwa kasaidia kundi kubwa la jamii, wewe na ufukara wako umesaidia nini zaidi kutuchafulia oksijeni tu,

Kataa Ufukara
 
Ooh Maskini kumbe aligusa kundi kubwa lililosahaulika kwenye jamii yetu, wanaomchukia aibu iwe juu yao ametenda makubwa kwa umri wake,

Yupo kwenye Dua zangu na nitamtolea sadaka, in shaa Allah.
Dream Queen
Wengi wanaomchukia kwanza hawamjui na hawakubahatika kujuana nae in person..na wengi wao wanamchukia kwasababu aliwazidi sana Kiuchumi yaan aliwapiga gape kubwa sana..na kubwa zaidi ambalo litandelea kubaki kwenye nyoyo zetu ni namna ambavyo Marehem Milembe alivyojua kuigusa Jamii alikua VOICE OF THE VOICELESS PEOPLE IN THE SOCIETY

Kuibeba jamii yeye kwake ilikua ni Primary concern kwenye maisha yake❤️

Watu wenye chuki binafsi na roho mbaya wamekatisha uhai wake na kuumiza maisha ya wengi waliokua nyuma yake 😔

Kuna watoto yatima wapatao 31 alikua anawalipia Ada wengine wako Vyuo mbali mbali, wengine wako Advance wengine Secondary wengine Primary level wamemuua nani atakaetimiza ndoto za Yatima hawa waliokua wakibebwa na Milembe?

Na alikua akiyafanya hayo kimya kimya wala hakujitangaza 😔

Hakuishia hapo tu alisaidia Wajane waishio Dar Kigamboni na maeneo mengine mbali mbali (WAJANE WALEMAVU WA VIUNGO) aliwanunulia BAJAJI na kuwapa bure..waweze kujikwamua kiuchumi na wala hakutaka kuwapiga picha na kuwatangaza aliyafanya haya kimya kimya Marehemu..Sasa hao wanaomkashifu na kumponda wao wamefanya nini kwenye Jamii???

Tutaendelea kumuenzi kwa mazuri yake na kumuombea Milele ❤️❤️❤️🙏🙏🙏

Tulikupenda sana Milembe pumzika Mwamba..waliokufanyia huu unyama watalipa tu damu yako haitaenda kihasara hasara 🙏

Allaahuma Aamiiiin 🙏🙏🙏
 
Nikisema niorodheshe mema ya Milembe nadhani nitashusha gazeti la Nipashe na bado nisimalize

Itoshe kusema Pumzika kwa amani Mpambanaji wa Wajane..Yatima..Maskini..Waishio maisha magumu..Walemavu..Waliokata tamaa n.k

Tutaendelea kuenzi maisha yako Daima ❤️🙏🙏🙏
 
Nikisema niorodheshe mema ya Milembe nadhani nitashusha gazeti la Nipashe na bado nisimalize

Itoshe kusema Pumzika kwa amani Mpambanaji wa Wajane..Yatima..Maskini..Waishio maisha magumu..Walemavu..Waliokata tamaa n.k

Tutaendelea kuenzi maisha yako Daima ❤️🙏🙏🙏
Pole sana kwa msiba mkubwa .
 
Nikisema niorodheshe mema ya Milembe nadhani nitashusha gazeti la Nipashe na bado nisimalize

Itoshe kusema Pumzika kwa amani Mpambanaji wa Wajane..Yatima..Maskini..Waishio maisha magumu..Walemavu..Waliokata tamaa n.k

Tutaendelea kuenzi maisha yako Daima [emoji3590][emoji120][emoji120][emoji120]

Nasikia walokamatwa ni mafundi ujenzi tu na kuhusu wanavyosema utapeli ni kweli?
 
Back
Top Bottom