TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Hii hukumu umetoa wapi ?
Kwa mujibu was Koran
Shoga anatakiwa kusutwa na kupigwa kidogo na makobazi na aachiwe huru
Koran-4:16. Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni.
--Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;
Katika sababu ambazo huwa zinanifanya nisijadiliane na wewe ni hii, kunukuu maandiko nusunusu na kupindisha ukweli.

Tafsiri ya Jalalayn Ina makosa mengi sababu ni tafsiri ya Rai pasi na kufata nususi zilizo kuja fasiri aya husika.

Soma aya ya 15 uone alikuwa anaongelewa nani. Jibu wanaongelewa Wazinifu wanawake.

Hukumu hiyo imetoka kwa Mtume wa alisema ya kuwa :

"Mkiwakuta watu wanafanya Matendo ya kaumu Lutwi, muueni mfanyaji na anayefanywa".

Lakini mwanazuoni Al Walidy Ibn Maliki anasema "Lau kama Qur'aan isinge simulia habari za watu wa Luti, basi nisingeamini ya kuwa mwanaume anaweza kumuingilia mwanaume mwenzake"

Ili uone ni namna gani jambo hili baya na ovu kabisa.
 
Tafsiri ya Jalalayn Ina makosa mengi sababu ni tafsiri ya Rai pasi na kufata nususi zilizo kuja fasiri aya husika.
Waislamu mnamaandiko ya uongo ? na mlikuwa wapi mpaka makosa yanawekwa kwenye vitabu vyenu , na wewe una cheo gani mpaka useme jallayn ni waongo

Koran-4:16. Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni.
--Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;
 
Tupe maneno kwenye Qur'an yanayosapoti huo upuuzi uliouandika, wewe debe tupu ndio unajikutaga unaishi Saudia kwa kushika vi aya viwili vitatu unasahau kua upo Tandale kwa Mtogole jioni unaenda kukopa miguu ya kuku kwa Juma Makame ulumagie na Ugali wa Sembe ushushie na maji ya kandoro,

Badala ya kufix utapiamlo wako unajitia msafi sana wa kuhukumu, hii ni Tanzania hatupo Maka wala Madina hao wauaji wenzio wangekua wanajiweza wangejitokeza hadharani halafu uone watakavyoshughulikiwa ipasavyo zaidi ya wale wa Kibiti,

Unajifanya unafata sheria za Allah halafu mkiua mnajificha kwenye mapori, waambie wajitokeze sasa

Simchezo kwa maneno haya nikikupa aya na Hadithi hazita fua dafu.

Nishamuwekea mtu ushahidi wa Hadithi ya Mtume, kwenye Qur'an soma habari za watu wa kaumu Luti uone kilicho wakuta na ubaya wa vitendo hivyo,ukiona haja utasoma usipo ona haja kadhalika utapuuza.

Ila huwezi kuwa na akili timamu ukatetea ushoga na usagaji. Wewe ni miongoni mwao, kuendeleza mjadala na wewe ni matumizi mabaya ya akili na muda pia.

Usipo kuwa na hoja bora ukae kimya kuliko kuwatusi watu na kuwazulia uongo, sababu hajutii mtu akikalia kimya mambo asiyokuwa na ujuzi nayo.

Nimemaliza.
 
Waislamu mnamaandiko ya uongo ? na mlikuwa wapi mpaka makosa yanawekwa kwenye vitabu vyenu , na wewe una cheo gani mpaka useme jallayn ni waongo

Koran-4:16. Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni.
--Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;
Hakuna andiko la uongo kijana, nimekwambia soma aya ya 15 usijipotezee muda.

Mimi lazima nikuulize Mtume alosema nini alipokuwa anawaelezea maswahaba aya hiyo na ipi sababu ya kushuka Aya hiyo. Hivi vyote vimeelezwa.

Sasa unapo nukuu maelezo Toka kwenye Tafsir ya Jalalayn unatakiwa uyaegemeze kwa Mtume au kwa Maswahaba je walisema hivyo ?

Uislamu umedhibiti kila kitu kuhusu dini yetu tofauti na dini yenu na dini nyingine ndiyo maana uliweka ujinga kama huu, ni rahisi kujulikana.

Aya inaonegelea wazinifu wa kike, na si kusagana wala ushoga wewe unaleta katika munasaba huu. Huu ni upotoshaji.

Badilika kijana kila siku nakueleza maneno haya. Ukipuuzwa unaanza kuisambaza uongo kwamba umekimbiwa mara hujajibiwa maswali.

Sasa wenye akili hupenda kujadiliana na watu wenye adabu na kutaka kujifunza na siyo wapumbavu, wapotoshaji na wenye kuwaotezea watu muda.
 
Badilika kijana kila siku nakueleza maneno haya. Ukipuuzwa unaanza kuisambaza uongo kwamba umekimbiwa mara hujajibiwa maswali.

Sasa wenye akili hupenda kujadiliana na watu wenye adabu na kutaka kujifunza na siyo wapumbavu, wapotoshaji na wenye kuwaotezea watu muda.
Wewe ndie ubadilike unaongea maelezo bila rejea ata moja, mimi naweka rejea ya kwenu siongezi wala sijapunguza kitu

wanaopotosha ni nyie waislamu leo hii unajiona wewe skola unawapinga mpaka jallayn , kiufupi wewe huwezi sikilizwa tukikuweka wewe na jallayn

gusa link nenda kawaambie waislamu wenzako ni wapotoshaji na wenye kupotezea watu mda

 
Aya inaonegelea wazinifu wa kike, na si kusagana wala ushoga wewe unaleta katika munasaba huu. Huu ni upotoshaji.
Koran
4;15. If any of your women are guilty of lewdness, Take the evidence of four (Reliable) witnesses from amongst you against them; and if they testify, confine them to houses until death do claim them, or Allah ordain for them some (other) way.
4;16. If two men among you are guilty of lewdness, punish them both. If they repent and amend, Leave them alone; for Allah is Oft-returning, Most Merciful.
  • Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;
 
Simchezo kwa maneno haya nikikupa aya na Hadithi hazita fua dafu.

Nishamuwekea mtu ushahidi wa Hadithi ya Mtume, kwenye Qur'an soma habari za watu wa kaumu Luti uone kilicho wakuta na ubaya wa vitendo hivyo,ukiona haja utasoma usipo ona haja kadhalika utapuuza.

Ila huwezi kuwa na akili timamu ukatetea ushoga na usagaji. Wewe ni miongoni mwao, kuendeleza mjadala na wewe ni matumizi mabaya ya akili na muda pia.

Usipo kuwa na hoja bora ukae kimya kuliko kuwatusi watu na kuwazulia uongo, sababu hajutii mtu akikalia kimya mambo asiyokuwa na ujuzi nayo.

Nimemaliza.
Maelezo mengi sana Ustazi uchwara nimekwambia weka Aya ya Qur'an inayosema Shoga na Msagaji wauliwe, kuna Mtu huko juu ameweka Aya Allah (S.W) akitoa hukumu juu ya Shoga na Msagaji sasa na wewe weka yako inayosema Allah (S.W) anataka Mashoga na Wasagaji wauwawe.

Acha kuzunguka Mbuyu la sivyo kubali wewe ni Fukara wa Akili na Mali.
 
Maelezo mengi sana Ustazi uchwara nimekwambia weka Aya ya Qur'an inayosema Shoga na Msagaji wauliwe, kuna Mtu huko juu ameweka Aya Allah (S.W) akitoa hukumu juu ya Shoga na Msagaji sasa na wewe weka yako inayosema Allah (S.W) anataka Mashoga na Wasagaji wauwawe.

Acha kuzunguka Mbuyu la sivyo kubali wewe ni Fukara wa Akili na Mali.
Poa.
 
Umemaliza kila kitu, hata sie tuliambiwa na Wakubwa zetu hao watu walikuwepo tangu enzi hizo na hakuna Mtu aliyekua na time nao, zamani watu walijali kutafuta pesa ndio maana tunaona wazee wetu wamewekeza ila sasa hivi vijana hawatafuti pesa wao kazi yao ni kutupa lawama tu, mwanzo ilikua lawama kwa serikali na sasa imekua lawama kwa mashoga na wasagaji,

Vijana wa hovyo na washamba ndio wanaotuchafulia taifa letu hili, ila hatutaacha kuwasuta na kuwazodoa, siku kila mmoja akiangalia maisha yake ndio siku hii Nchi itatulia angalau.
Zaa choko
 
Wengi wanaopinga ushoga ni mashoga. Hasa mabasha.

Kuna IDs kama nne nimezibaini zipo hapa zinajifanya kupinga ushoga lakini ni mashoga na nina ushahidi.

Kupitia ujasusi wangu, nimefanikiwa kuwagundua, na wakileta fyoko ntawaanika hadharani. Nina nyaraka kabisa, vielelezo na screenshots [emoji16]

Jamiiforums itazimika. [emoji16][emoji16][emoji16]
Huko hapo kwa shemeji yako umevimbiwa na kande za kutosha halafu unatuchimbia mikwara mbuzi humu.
 
Wewe ndie ubadilike unaongea maelezo bila rejea ata moja, mimi naweka rejea ya kwenu siongezi wala sijapunguza kitu

wanaopotosha ni nyie waislamu leo hii unajiona wewe skola unawapinga mpaka jallayn , kiufupi wewe huwezi sikilizwa tukikuweka wewe na jallayn

gusa link nenda kawaambie waislamu wenzako ni wapotoshaji na wenye kupotezea watu mda

Fanyia kazi maelezo niliyo kupa yako wazi sana.

Hujui chochote katika Uislamu, Sasa ukipewa muongozo ufanyie kazi.
 
Koran
4;15. If any of your women are guilty of lewdness, Take the evidence of four (Reliable) witnesses from amongst you against them; and if they testify, confine them to houses until death do claim them, or Allah ordain for them some (other) way.
4;16. If two men among you are guilty of lewdness, punish them both. If they repent and amend, Leave them alone; for Allah is Oft-returning, Most Merciful.
  • Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;
Sasa kwanini hii aya umeileta katika suala la mashoga na wasagaji ?

Haya maneno ya kwenye Tafsiri ya Jalalayn yanaenda kinyume na maana iliyotolewa na sababu za kushuka kwa aya.
 
Sasa kwanini hii aya umeileta katika suala la mashoga na wasagaji ?

Haya maneno ya kwenye Tafsiri ya Jalalayn yanaenda kinyume na maana iliyotolewa na sababu za kushuka kwa aya.
Najua kingereza ni kigumu mno kwako

4;16. If two men among you are guilty of lewdness, punish them both. If they repent and amend, Leave them alone; for Allah is Oft-returning, Most Merciful.
  • Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;
 
Simchezo kwa maneno haya nikikupa aya na Hadithi hazita fua dafu.

Nishamuwekea mtu ushahidi wa Hadithi ya Mtume, kwenye Qur'an soma habari za watu wa kaumu Luti uone kilicho wakuta na ubaya wa vitendo hivyo,ukiona haja utasoma usipo ona haja kadhalika utapuuza.

Ila huwezi kuwa na akili timamu ukatetea ushoga na usagaji. Wewe ni miongoni mwao, kuendeleza mjadala na wewe ni matumizi mabaya ya akili na muda pia.

Usipo kuwa na hoja bora ukae kimya kuliko kuwatusi watu na kuwazulia uongo, sababu hajutii mtu akikalia kimya mambo asiyokuwa na ujuzi nayo.

Nimemaliza.
Allah akulipe kheri ndugu yangu.

Namuomba Allah awaongoze hao katika njia ya sawa au awaangamize, Aamiin.

Hawamshindi Allah.
 
Najua kingereza ni kigumu mno kwako

4;16. If two men among you are guilty of lewdness, punish them both. If they repent and amend, Leave them alone; for Allah is Oft-returning, Most Merciful.
  • Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;
Jibu swali nililo kuuliza.

Naam kiingereza kigumu kwangu na mimi nina matini ya aya na tarjama ya Kiswahili. Hii ndiyo tofauti yetu na nyinyi, wewe huna marejeo ya asili kwenye vitabu vyenu ndiyo maana hawajulikani waandishi wa Vitabu vyenu na bado mnaviamini.

Sasa kipi bora kati ya tarjama na maneno ya asili ?

Ukijibu maswali niliyo kuuliza, unistue nije kuendelea hapa nilipo ishia.
 
Back
Top Bottom