Afisa wa benki ya NMB Arusha anaedaiwa kulawiti Yatima afikishwa mahakamani

Afisa wa benki ya NMB Arusha anaedaiwa kulawiti Yatima afikishwa mahakamani

Jamaa ni mkatili sana. Naamini sheria itachukua mkondo wake.
 
Palipo na roho na nia nzuri, shetani huingizia roho za tamaa.

Jamaa alikuwa na nia nzuri sana. Kumsaidia binti huyo. Kwa namna yeyote huwezi kusema nia yake ilikuwa kumchukua ili kumlawiti.

Shetani akapata nafasi, akamshawishi kukaa naye na pengine kumnawirisha, akaingiza tamaa. Jamaa yetu akajaa.

Mungu atusaidie. Ukipata nafasi ya kumsaidia mwanafunzi haswa wa kike, usikae naye. Mwache akae mbali, wewe timiza wajibu mwingine. Dhibiti tamaa za kipuuzi na muombe sana Mungu.
Huu uxi uliletwa siku kadhaa zilizopita, uliripoti kuwa afisa kambaka kijana wa kiume sio wa kike.
Kwa lugha idiokubalika ni kuwa alimgeuza kidume mwenzie nyuma kwenye haja kubwa.
 
Kuna jamaa mmoja humu aliwahi kutusimulia kwamba siku moja akiwa huko Dar aliwasikia watoto wa mtaani wakimkejeli mwenzao wa kiume kwamba wanamla kwa ahadi ya chakula ,na alifuatilia akathibitisha

Tukio Hilo linanipa ugumu kuamini huu uzi,inawezekana pia huyo mtoto huko mtaani alikuwa analiwa alafu jamaa kasingiziwa tu

Jiulizeni haya, huyu jamaa Hana mke ? Anaishi na dogo tu ? Mnaofanya naye kazi,huyu jamaa Hana demu/mademu ?
 
Back
Top Bottom