Afisa wa benki ya NMB Arusha anaedaiwa kulawiti Yatima afikishwa mahakamani

Jamaa ni mkatili sana. Naamini sheria itachukua mkondo wake.
 
Huu uxi uliletwa siku kadhaa zilizopita, uliripoti kuwa afisa kambaka kijana wa kiume sio wa kike.
Kwa lugha idiokubalika ni kuwa alimgeuza kidume mwenzie nyuma kwenye haja kubwa.
 
Kuna jamaa mmoja humu aliwahi kutusimulia kwamba siku moja akiwa huko Dar aliwasikia watoto wa mtaani wakimkejeli mwenzao wa kiume kwamba wanamla kwa ahadi ya chakula ,na alifuatilia akathibitisha

Tukio Hilo linanipa ugumu kuamini huu uzi,inawezekana pia huyo mtoto huko mtaani alikuwa analiwa alafu jamaa kasingiziwa tu

Jiulizeni haya, huyu jamaa Hana mke ? Anaishi na dogo tu ? Mnaofanya naye kazi,huyu jamaa Hana demu/mademu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…