ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
With current situation iliyopo na wasomi waliopo most of them, lazima ukubali ni kweli. Japo si woteHaya mliosoma UDSM wale ambao mnafundishwa na Maprofesa wa Jalapani njooni mbishe hapa π
View: https://twitter.com/Kiganyi_/status/1819058323817189606?t=VQfILn-OwC6pfb5CaCCcgw&s=19
Ndio ukweli, yaani pale watu Masters wanachukua tu ....Chuo kikubwa eti wanachomelea mabati wanasema wamezindua gari katika karne hii si utani .Kuna am
With current situation iliyopo na wasomi waliopo most of them, lazima ukubali ni kweli. Japo si wote
Kwani uongo!Haya mliosoma UDSM wale ambao mnafundishwa na Maprofesa wa Jalapani njooni mbishie huyu mwamba hapa π
Sio kushindwa. Wanaweza ila wakiendesha kama wanaweza hawanufaiki na wao wanataka wapige nyambi wakagawe bia bar. So kushindwa sio suala la akili ni sual la kimaslahiKwani uongo!
Mawaziri, makatibu wakuu na wakurugenzi wengi wanashindwa nini kusimamia miradi na nchi ikafanikiwa badala yake tunaleta DPW kuendesha bandari, misitu, mbuga za wanyama nk
KWa hiyo ulitaka ujilinganishe na mchovu mwenzio?ukitaka kupiga hatua nzuri lazima uangalie aliyekuzidi na siyo masikini mwenzakoHuyu jamaa thinking capacity yake iko Biased. Huwez kuwa msomi na akili zako timamu unajaji na kulinganisha ubora wa elimu ya afrika/sub saharan na Ulaya/USA kwa kigezo chochote kile.
Ndiyo kushindwa hukoSio kushindwa. Wanaweza ila wakiendesha kama wanaweza hawanufaiki na wao wanataka wapige nyambi wakagawe bia bar. So kushindwa sio suala la akili ni sual la kimaslahi
Inaweza kuwa scarm na kama ujiavyo ni kosa kusambaza habari ambazo Hazina uhakika au za uzushi.Yaani mpaka video ipo ila inaripotiwa "inadaiwa amesema"π